Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 734
Akizungumza leo mjini Dar es Salaam, Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye amesema anampongeza sana John Myika kuteuliwa na Chadema kuwa Mkuu wa Habari na Uenezi wa chama hicho.
"Nasema hatua ya Chadema kumchagua Mnyika kushika nafasi hiyo ni nzuri kwa kuwa imeonyesha nijinsi gani vijana wanaendelea kuaminiwa na kupewa nafasi muhimu za uongozi", alisema Nape na kumkaribisha Mnyika katika ulingo wa viongozi wa Uenezi katika vyama vya siasa.
Katika picha ni Nape na Mnyika walipokuwa katika kongamano la kisiasa lililofanyika hivi karibuni ukumbi wa Mlimani City, Dar es Salaam
"Nasema hatua ya Chadema kumchagua Mnyika kushika nafasi hiyo ni nzuri kwa kuwa imeonyesha nijinsi gani vijana wanaendelea kuaminiwa na kupewa nafasi muhimu za uongozi", alisema Nape na kumkaribisha Mnyika katika ulingo wa viongozi wa Uenezi katika vyama vya siasa.
Katika picha ni Nape na Mnyika walipokuwa katika kongamano la kisiasa lililofanyika hivi karibuni ukumbi wa Mlimani City, Dar es Salaam