NAPE ampongeza MNYIKA kupewa U-NAPE wa CDM

Lucchese DeCavalcante

JF-Expert Member
Jan 10, 2009
5,471
734

Akizungumza leo mjini Dar es Salaam, Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye amesema anampongeza sana John Myika kuteuliwa na Chadema kuwa Mkuu wa Habari na Uenezi wa chama hicho.

"Nasema hatua ya Chadema kumchagua Mnyika kushika nafasi hiyo ni nzuri kwa kuwa imeonyesha nijinsi gani vijana wanaendelea kuaminiwa na kupewa nafasi muhimu za uongozi", alisema Nape na kumkaribisha Mnyika katika ulingo wa viongozi wa Uenezi katika vyama vya siasa.

Katika picha ni Nape na Mnyika walipokuwa katika kongamano la kisiasa lililofanyika hivi karibuni ukumbi wa Mlimani City, Dar es Salaam
 
Back
Top Bottom