Nape amfagilia Magufuli. Asema hana urafiki kwenye kazi

hugochavez

JF-Expert Member
Mar 1, 2013
1,907
1,009
Mbunge wa jimbo la mtama Nape Nnauye amemsifu rais Magufuli na kusema kwamba Magufuli hana urafiki kwenye kazi wala hachekicheki linapokuja suala lenye maslahi na wananchi.

Nape ameeleza kuwa utawala wa awamu ya Tano umedhibiti rushwa ambayo ilikuwa kansa ktk nchi yetu na sasa kuna haki na heshima na uwajibikaji katika nchi yetu hususani ofisi za umma.

Nape ameyasema hayo wakati anamnadi mgombea ubunge jimbo la buyungu kupitia CCM Eng. Chiza Katika mtaa wa mbizi mjini kakonko.
 
Huyo naye kapigwa chini kwenye uwaziri........

Na tena kaambiwa atapigiwa shangazi zake, kutokana na kuwatetea wakulima wake wa korosho, baada ya "kuporwa" asilimia 65 yao ya export levy........

Lakini bado tu jamaa anajilambalamba!
 
Mbunge wa jimbo la mtama Nape Nnauye amemsifu rais Magufuli na kusema kwamba Magufuli hana urafiki kwenye kazi wala hachekicheki linapokuja suala lenye maslahi na wananchi. Nape ameeleza kuwa utawala wa awamu ya Tano umedhibiti rushwa ambayo ilikuwa kansa ktk nchi yetu na sasa kuna haki na heshima na uwajibikaji katika nchi yetu hususani ofisi za umma.Nape ameyasema hayo wakati anamnadi mgombea ubunge jimbo la buyungu kupitia CCM eng.Chiza Katika mtaa wa mbizi mjini kakonko.
Amedhibiti rushwa??

Are you serious??

Au haoni hili wimbi la wabunge wa upinzani, kuhamia CCM kwa madai ya kuhongwa??
 
Mbunge wa jimbo la mtama Nape Nnauye amemsifu rais Magufuli na kusema kwamba Magufuli hana urafiki kwenye kazi wala hachekicheki linapokuja suala lenye maslahi na wananchi. Nape ameeleza kuwa utawala wa awamu ya Tano umedhibiti rushwa ambayo ilikuwa kansa ktk nchi yetu na sasa kuna haki na heshima na uwajibikaji katika nchi yetu hususani ofisi za umma.Nape ameyasema hayo wakati anamnadi mgombea ubunge jimbo la buyungu kupitia CCM eng.Chiza Katika mtaa wa mbizi mjini kakonko.
Nape Nnauye huyu huyu au Nape Kabwe!?
 
Mbunge wa jimbo la mtama Nape Nnauye amemsifu rais Magufuli na kusema kwamba Magufuli hana urafiki kwenye kazi wala hachekicheki linapokuja suala lenye maslahi na wananchi. Nape ameeleza kuwa utawala wa awamu ya Tano umedhibiti rushwa ambayo ilikuwa kansa ktk nchi yetu na sasa kuna haki na heshima na uwajibikaji katika nchi yetu hususani ofisi za umma.Nape ameyasema hayo wakati anamnadi mgombea ubunge jimbo la buyungu kupitia CCM eng.Chiza Katika mtaa wa mbizi mjini kakonko.
Hongera zake Mh. Nape
 
Back
Top Bottom