Makirita Amani
JF-Expert Member
- Jun 6, 2012
- 1,781
- 3,072
huu ndio umati mkubwa uliokuwa ukisikiliza sera za nape.
mbona unaleta habari za uongo kijana? Kweli nape ana wanyima usingizi.
Hapo ni Ilula km 70 toka iringa mjini siku hiyo Jembe Zito Zubery ,Msigwa Mch,Ole milya walikuwa iringa mjin lakini makundi ya watu waliacha mkutano wa nape ilula wakaja iringa mjini kwenye mkutano wa CDM
aiseee bonge la nyomiiiiiiiiiiii
uwanja umejaa ile mbaya...
big up nape
kidumu chama cha kijani na njano
he!na pale sokoni je?halafu anatisha watu eti alifunika iringa. Wakati mikutano mingine alifanyia sokoni ili wafanya biashara waonekane wamejaza uwanja kumbe watu wako kwenye biashara zao.