jamani mm nasikia kila siku mtu anakwea pipa kumbe ndio kazi anayokwenda fanya asante sana mpiga pichaHisia hazina sauti, lakini huonekana machoni. Huyu dada ni nani nyie Watanzania?
jamani mm nasikia kila siku mtu anakwea pipa kumbe ndio kazi anayokwenda fanya asante sana mpiga pichaHisia hazina sauti, lakini huonekana machoni. Huyu dada ni nani nyie Watanzania?
Huyu Nape akili zake sijui zikoje..........Unafanyaje mkutano Soko Kuu la Mji wa Iringa?? ili uweme watu wamekuja wengi?
Katika hali ya kawaida sokoni huwa kuna watu wengi......
This guy is begining to act like MUKAMA.....the end of the slow beginning!!!:A S 112:
Hebu linganisha mwenyewe kati ya umati wa ccm na CDM. Na hapo bado hawajasombwa na mafuso wala kupewa posho.
hapo wapi?
Pale njiani baina ya soko la zamani na jipya mkabala na kituo cha polisi? ama keli ukikonda vaa nguo nyembamba. Si wana uwanja wa kumbukumbu ya Samora walioupora kwa wananchi, kwa nini asiende huko. Hapa ananikumbusha enzi za kina profesa Singira kutafuta watu kwa kuanzisha genge sokoni. Ptuuu heshima yenu imeshuka, hao wenzako wamekuingiza mjini kwa bei pooooooooooooooooooooooooooa
Hapo je?
Inataka roho ngumu ya kinepinepi kuhutubia watu wanaokusanifu!
Pale njiani baina ya soko la zamani na jipya mkabala na kituo cha polisi? ama keli ukikonda vaa nguo nyembamba. Si wana uwanja wa kumbukumbu ya Samora walioupora kwa wananchi, kwa nini asiende huko. Hapa ananikumbusha enzi za kina profesa Singira kutafuta watu kwa kuanzisha genge sokoni. Ptuuu heshima yenu imeshuka, hao wenzako wamekuingiza mjini kwa bei pooooooooooooooooooooooooooa
Nape anachukua chake mapema ziara hii hatakosa Hamsini Milioni baada ya kumwachia Kama ishirini Mzee Mkama. Hapa ni kuhalalisha matumizi ya hela hakuna wa kumhamasisha.Mbona unaleta habari za uongo kijana? Kweli Nape ana wanyima usingizi.
huu ndio umati mkubwa uliokuwa ukisikiliza sera za nape.
Halafu Nape kapata kichogo alipoenda Iringa?Mbona haonekani vizuri bana!! Unamsingizia Katibu wetu mwenezi bana...
Ati Katibu ni wewe?:A S shade: