Ni kweliNa nyie wanaume humu mmezidi bana....yani kila mwanaume mwenzenu akiuliza kitu kuhusu mafuta au ngozi yake ni kum attack na maneno ya mwanaume hivi mwanaume vile..so watu watembee kama mizimu? Yani wapauke kama wako mashineni wanasaga unga..
Kuhusu yule mwingine mnasemsema kila siku ni special case ila wengine wanataka kujua kwa sbb ya hali ya hewa...kuna muda mnajidefend sana kwny uanaume wenu kumbe ndo wala viboga wenyewe...msyuuuu😏😏
sio wala viboga bali waliwa viboga.Na nyie wanaume humu mmezidi bana....yani kila mwanaume mwenzenu akiuliza kitu kuhusu mafuta au ngozi yake ni kum attack na maneno ya mwanaume hivi mwanaume vile..so watu watembee kama mizimu? Yani wapauke kama wako mashineni wanasaga unga..
Kuhusu yule mwingine mnasemsema kila siku ni special case ila wengine wanataka kujua kwa sbb ya hali ya hewa...kuna muda mnajidefend sana kwny uanaume wenu kumbe ndo wala viboga wenyewe...msyuuuu😏😏
Lakini nyie ndio mnatusimangaga oh sijui mara mimi mwanaume mwenye sura laini wa nini,oh mara sijui mi mwanaume mzuri au mweupe wa kazi gani,mimi nilikuwa mweupe nimejichakaza juani mpaka nimekuwa mweusi lakini nashangaa siwapati wadada wanaosema wanapenda wanaume weusi badala yake nawasikia tu wanaosema wanapenda wanaume weupe dah!Na nyie wanaume humu mmezidi bana....yani kila mwanaume mwenzenu akiuliza kitu kuhusu mafuta au ngozi yake ni kum attack na maneno ya mwanaume hivi mwanaume vile..so watu watembee kama mizimu? Yani wapauke kama wako mashineni wanasaga unga..
Kuhusu yule mwingine mnasemsema kila siku ni special case ila wengine wanataka kujua kwa sbb ya hali ya hewa...kuna muda mnajidefend sana kwny uanaume wenu kumbe ndo wala viboga wenyewe...msyuuuu😏😏
😁😁😁😄😄😄mimi nilikua napenda wanume weupe na Mungu akanisaidia nikampata...Lakini nyie ndio mnatusimangaga oh sijui mara mimi mwanaume mwenye sura laini wa nini,oh mara sijui mi mwanaume mzuri au mweupe wa kazi gani,mimi nilikuwa mweupe nimejichakaza juani mpaka nimekuwa mweusi lakini nashangaa siwapati wadada wanaosema wanapenda wanaume weusi badala yake nawasikia tu wanaosema wanapenda wanaume weupe dah!
Kuna wamama wanawachumbua watoto wao kweli😁😁😁😄😄😄mimi nilikua napenda wanume weupe na Mungu akanisaidia nikampata...
Hao wa weusi utashangaa mtoto akitoka mweusi wanamchubua buhaha
Yah kuna watu wanafanya hivyoKuna wamama wanawachumbua watoto wao kweli
Ili aonekane ana watoto wazuriYah kuna watu wanafanya hivyo
Nipo dar
Hatua ya kwanza, kapime Grid ya TaifaAmani iwe pamoja nasi sote!
Tukiachilia matatizo yanayoendelea; cambodia, pakistan, gaza, yemen, drc, ukraine, sahel, gen z, brics, iran, Lisu, Pole Pole, gwajima, mchujo CCM na bilion ya Taifa stars.... hebu tuangazie pia la ngozi yangu.
Wajuvi wa ngozi za kiume.
Nipo dar.
Kipindi hiki napauka kila idara ya mwili.
Nakunywa maji sana lakini wapi.
Huwa natumia lotion ya Cocoa butter for men lakin ndo kabsa napauka zaid.
Na hivi wanaume hatujirembi sana nimetelekeza makalio yakapauka kama pembe ya faru Joni.
Nipake nini?
Au ndo nafukuzwa dunian kistaarab!
Uragowe mutamaAmani iwe pamoja nasi sote!
Tukiachilia matatizo yanayoendelea; cambodia, pakistan, gaza, yemen, drc, ukraine, sahel, gen z, brics, iran, Lisu, Pole Pole, gwajima, mchujo CCM na bilion ya Taifa stars.... hebu tuangazie pia la ngozi yangu.
Wajuvi wa ngozi za kiume.
Nipo dar.
Kipindi hiki napauka kila idara ya mwili.
Nakunywa maji sana lakini wapi.
Huwa natumia lotion ya Cocoa butter for men lakin ndo kabsa napauka zaid.
Na hivi wanaume hatujirembi sana nimetelekeza makalio yakapauka kama pembe ya faru Joni.
Nipake nini?
Au ndo nafukuzwa dunian kistaarab!