Inkotanyi 94
JF-Expert Member
- May 3, 2013
- 2,244
- 4,030
Amani iwe pamoja nasi sote!
Tukiachilia matatizo yanayoendelea; cambodia, pakistan, gaza, yemen, drc, ukraine, sahel, gen z, brics, iran, Lisu, Pole Pole, gwajima, mchujo CCM na bilion ya Taifa stars.... hebu tuangazie pia la ngozi yangu.
Wajuvi wa ngozi za kiume.
Nipo dar.
Kipindi hiki napauka kila idara ya mwili.
Nakunywa maji sana lakini wapi.
Huwa natumia lotion ya Cocoa butter for men lakin ndo kabsa napauka zaid.
Na hivi wanaume hatujirembi sana nimetelekeza makalio yakapauka kama pembe ya faru Joni.
Nipake nini?
Au ndo nafukuzwa dunian kistaarab!
Tukiachilia matatizo yanayoendelea; cambodia, pakistan, gaza, yemen, drc, ukraine, sahel, gen z, brics, iran, Lisu, Pole Pole, gwajima, mchujo CCM na bilion ya Taifa stars.... hebu tuangazie pia la ngozi yangu.
Wajuvi wa ngozi za kiume.
Nipo dar.
Kipindi hiki napauka kila idara ya mwili.
Nakunywa maji sana lakini wapi.
Huwa natumia lotion ya Cocoa butter for men lakin ndo kabsa napauka zaid.
Na hivi wanaume hatujirembi sana nimetelekeza makalio yakapauka kama pembe ya faru Joni.
Nipake nini?
Au ndo nafukuzwa dunian kistaarab!