Heshima yenu jf Doctors!
Jamani naomba munisaidie wapi tatizo.
Kwa muda wa miezi miwili sasa nikisikia harfu kali hasa ya chakula kinachoungwa napata kichefu*2 cha hali ja juu hata perfyumu zenye kunukia vibaya imefikia mahali jikoni wakianza kupika inabidi niende mbali.
Nimetumia na dawa za minyoo lakini symptom still persist .Nini naweza kuwa shida DOCTORS?
CC
meningitis measkron @Dr Riwa @Dr Mo @Muprocin
grand-mal Kungurumweupe @Dr Wansengamalila