Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,932
- 34,916
Hujafanikiwa kupata ufafanuzi ??
Habari me ni yule niliye uliziA leseni ya kukopesha
Habari me ni yule niliye uliziA leseni ya kukopesha
poa poa. Mkuu mi sihusiki wala sijui ila vuta subira watakuja wajuvi wa haya mamboHabari me ni yule niliye uliziA leseni ya kukopesha
Eeh bila roho ngumu kweli hio biashara ni ngumu mno!Mtaji mkubwa Sana huo mbna ukianza Kwa chocho .... Sema ni biashara ambayo unatakiwa uwe na roho mbaya Zaid ya shetani ndo utatoboa...
Habari mkuu?nina interest sana na biashara hii..nimejaribu kuku-PM naona nashindwa naomba unipm tafadhali ili tuwasiliane juu ya jambo hili.Uko mkoa gani kuna lesseni aina 2 za kukopesha. nione private nikupe ufafanuzi