umukagame
JF-Expert Member
- Apr 10, 2014
- 1,044
- 675
Habari zenu wapendwa
Kuna kitu kinanitatiza hiv ila nahis nyie mnaweza kuwa na mtazamo sahihi
Ni hivi toka niwe na mpnz wang hajawahi hata kunipa sh,100 yake i mean kutumia pesa zake ila huwa nikihitaji kitu ananiambia twende tukafanye shopng lkn mm napotezea anaenda anajinunulia vitu vyake of coz me sina shida ya pesa nna kazi yang na om tupo vizuri tu kwa hyo kifupi sina uhitaji wa pesa zake wala sijawahi muomba hata nikichukua tax kwenda nyumbani kwake huwa nalipa mimi simuombi,,
Napata was was yupo sawa kweli???
Au hanipendi??
Pesa tu anazo sana lakn hajawah hata kusema baby chukua hii elfu 10 ulipie tax hakuna
Ushauri pls
Kuna kitu kinanitatiza hiv ila nahis nyie mnaweza kuwa na mtazamo sahihi
Ni hivi toka niwe na mpnz wang hajawahi hata kunipa sh,100 yake i mean kutumia pesa zake ila huwa nikihitaji kitu ananiambia twende tukafanye shopng lkn mm napotezea anaenda anajinunulia vitu vyake of coz me sina shida ya pesa nna kazi yang na om tupo vizuri tu kwa hyo kifupi sina uhitaji wa pesa zake wala sijawahi muomba hata nikichukua tax kwenda nyumbani kwake huwa nalipa mimi simuombi,,
Napata was was yupo sawa kweli???
Au hanipendi??
Pesa tu anazo sana lakn hajawah hata kusema baby chukua hii elfu 10 ulipie tax hakuna
Ushauri pls