Kumbe bado haujaenda mkuu,nenda then utupe mrejesho.Nashindwa hata nielezeeje maana ni shule ya english medium tena shule kubwa tu hapa dar.. Nadham kesho naenda kuwachana..
Ni maswali ya sehemu... So alitakiwa aandike ile sehemu ambayo ipo shaded ni ngapi ya ngapo ya duara...Kabla sija-comment ningependa kujua swali lilikuwa linasemaje?
Ndio nimegundua huu usiku kwa maana hilo tukio lilikua leo mchana...Kumbe bado haujaenda mkuu,nenda then utupe mrejesho.
Kama ni hivyo kijana yuko sawa itabidi mwalimu ajieleze.Ni maswali ya sehemu... So alitakiwa aandike ile sehemu ambayo ipo shaded ni ngapi ya ngapo ya duara...
hii inaitwa kanyaga twendeMkuu mi mwenyewe ndio nimegundua now kuwa walimu ****** mpaka hulu fm academia wapo
Take it from me haisaidii. Walimu wanafundisha masomo ambayo nao yanawapiga chenga. Tatizo ni kubwa na ni shule nyingi. Mm ninewahamisha watoto shule mbili, hii waliopo ni ya tatu and its the same shit. Inasikitisha, inakera.Nashindwa hata nielezeeje maana ni shule ya english medium tena shule kubwa tu hapa dar.. Nadham kesho naenda kuwachana..
Analazimishwa maskin kunywa sumu...fanya umuhamishe shuleMkuu roho inaniuma sana.. Naona kabisaa kijana anakunywa sumu..
Hiyo shule watakua wameajiriwa wale wenye uwelewa wa somo lakiingereza tu haya mengine wana focNashindwa hata nielezeeje maana ni shule ya english medium tena shule kubwa tu hapa dar.. Nadham kesho naenda kuwachana..
Kama ni kweli huyo mtoto ana uwezo wakufanya hivyo, nafikiri huyu atakuwa ni wa grade one basi ninakubaliana na wewe kuwa ana akili sana...... lakini sidhani, hii ni shida ya walimu wetu mm pia nakutana nayo sana tu. Walimu wamekremisha halafu ni wavivu. Mzazi unawasahihisha hata spelling wanashindwa kutumia hata dictionary kujiridhisha kabla ya kuargue.Mtoto wako ana akili sana..alikosea ilikuwa shaded kipisi kimoja tu..alipoona kakosa na utamgombeza ka shade na kipisi cha pili pote ili umgombeze mwalimu...na amewapata wote humu mliochangia!!!
Vipi sasa kwenye corrections? Mbona ile quarter ameiwekea pata? Mwalimu kachemsha, period.Ndugu yawezekana mwalimu alitaka waandike jibu kwa Tarakimu na siyo maneno.