Uliamuaje kulima wakati hujui soko liko wapi? hapo ndipo tunapokosea sana!Heshima kwenu ndugu zangu wa jf.
Nije moja kwa moja kwenye mada. Nategemea kukusanya Soya zipatazo tani 20 na kuendelea. Mwenye kujua soko lake la uhakika naomba anijuze ndugu zangu.
Natanguliza shukrani zangu.
Unauzaje mkuu?Songea
0744 838484.kiongozi wasiliana nasi kupitia namba hizo kwa maelezo zaidi.nahusika na ukusanyaji/ununuaji wa mazao aina ya maharagwe,ufuta,mahindi ya njano,mahindi ya kawaida,nk.asanteHeshima kwenu ndugu zangu wa jf.
Nije moja kwa moja kwenye mada. Nategemea kukusanya Soya zipatazo tani 20 na kuendelea. Mwenye kujua soko lake la uhakika naomba anijuze ndugu zangu.
Natanguliza shukrani zangu.