Napata wapi asali original hapa DSM?

Napata wapi asali original hapa DSM?

understanding

Member
Joined
Feb 17, 2013
Posts
75
Reaction score
34
Habari ya kila mmoja wetu kwa siku ya leo?

Naomba great thinkers muweze kunisaidia katika hili, hivi hapa dsm nitapata wapi asali ya nyuki wadogo au asali tu ambayo ni original yaani ambayo haijachakachuliwa???

Naomba mnisaidie mahali pa kupata asali hii na bei zake zinakuwaje? Nahitaji sana asali. Ahsante na nawasilisha
 
Habari ya kila mmoja wetu kwa siku ya leo?

Naomba great thinkers muweze kunisaidia katika hili, hivi hapa dsm nitapata wapi asali ya nyuki wadogo au asali tu ambayo ni original yaani ambayo haijachakachuliwa???

Naomba mnisaidie mahali pa kupata asali hii na bei zake zinakuwaje? Nahitaji sana asali. Ahsante na nawasilisha
nenda kwa bwana nyuki tabora
 
Ujue asali ina namna nyingi ya kusema ni origino, kwanza ni ya msimu gani? imechemshwa? imepashwa? inmechanganywa na maji? molasses? n.k.? kwa haraka utaigundua kwa rangi na uzito (not weight but elasticity - iwe na umbo la mkufu ukimimina taratibu)... hii ya msimu wa May - july ambayo ndio nyingi; halisi inatakiwa kuwa transparent, ukiweka sehemu baridi i-change kuwa na rangi ya samli.... any way maelezo ni marefu, nitafute
 
Ninayo, ya June. Ukitaka lita 20 nitakuuzia kwa 8,000 kwa lita. Ukitaka lita 5 nitakuuzia kwa sh 10,000 lita.
Tuwasiliane kwa pm
 
Kawe-kituo msikiti.......bei inaanzia elfu nane!
 
Back
Top Bottom