Napata Shida

wewe ni Seth De Jesus Giovan? Kama siye why hujamuacknowledge kwa uzi huu ulioucopy ktk wall yake facebook? Halafu umecopy hadi nukta hata kuedit? PRAGIARISM! Teh teh teh!
UNA UHAKIKA KAMA HII MSG ILIANZIA KWA SETH de jesus
 
Bora umewaambia,yani kijana anategemea aseme nikinywa maji nakuona kwenye glass tu mdada alainike,bado hawajachemsha!siku hizi pesa inaongea ohoooo!bwetekeni kutegemea mashairi na ngonjera!

sidhani kama upo sahisahi kwa mawazo kama yako mataishia kutiwa na kuachwa na virusi na kushushwa thamani sababu target yenu kubwa ni hela na sio mapenzi hali kadhalika na kwa wa naume itakuwa ni kutia na kuacha na wala msilalamike hatuolewi mara oo waname sio waaminifu kumbe nyie wenyewe target yetu ni hela na mtatendwa sana hasa kwa wenye akili kama zako.
 
hilo neno umenena ila nataka nikushauri kuhusu hilo jina unalo2mia la Rural Swagga , nakushauri uondoe hiyo Swagga kwani asili la neno Swagga ni SWAG yaani kulikuwa na kikundi kimoja cha wanamuziki wa rock walikuwa wanajiita SWAG yaan SECRET WE ARE GAY angalia bwana mdogo hayo majina mengine hayana upako..Nawakilisha
 
LOOK nani kakwambia kuna mapenzi ya kweli naw days?hakunaga tena nyie wanaume ndio hamfai kabisa,NO MONEY NO HO HONEY hahaaaa!
 
ok najua mtasema sana nini na nini...point ya msingi hela utazitumbua nini..na nini..ila usisahau kwamba kuna ku "keep the change"= HIV/AIDS.... can you pay the price of keeping the change?womaaaan....enh?...ova...

Matokeo ya starehe tu hayo!!!
 
LOOK nani kakwambia kuna mapenzi ya kweli naw days?hakunaga tena nyie wanaume ndio hamfai kabisa,NO MONEY NO HO HONEY hahaaaa!
yapo sana uakuwa hata na watu kumi ila kuna mmoja ndo kila hata ukizunguana naye lazima usikilizie maumivu
 

sikiliza dogo, sio kila mtu unaekuwa nae lengo ni kuishi nae daima na milele, wengine ni kwa ajili ya starehe tu sasa utakuwa na mtu kwa ajili ya starehe wakati hana kitu si bora kununua vibrator tu ukajipa raha mwenyewe, na hao wanaotaka wanaume wa miaka 45 na kuendelea ni kwa ajili ya starehe tu, ndoa anatafuta kijana mwenzie mwenye uelekeo lakini hahahaha, sio jitu lipo tu kwa kuwa anavaa suruali basi anajua anaweza kuwa na mwanamke yeyote.

PESA HESHIMA , FANYA KAZI KWA BIDII UONE HATA VIBIBI VITAKUPENDA
 
Nitalifanyia kazi Mkuu asante kwa kunielewesha,,lol
 
una hasira sana punguza,kutenda na kutendwa vyote ni life tu ,,,,,,makes the world go round,you sound soo bitter nahisi unaona wanawake wote mazimwi kwa sasa.....:whistle::becky:
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…