Napata shida na hii namba

Napata shida na hii namba

tumiakichwa

Member
Joined
Jan 26, 2014
Posts
44
Reaction score
10
Wadau habarini za jion!

Jaman mwenzenu naomba mnisaidie kitu kimoja mana tangu niikariri namba ya huyu mwanamke yaani ina shida tupu,kwa hiyo naomba mnisaidie ili niweze kuifuta kichwani mwangu!

Ni hayo tu wanajukwaa!!!
 
Andika sasa na hiyo namba ili tutakapo anza kukufanyia maombi tunaitaja na hiyo namba ili uweze kuisahau kichwani mwako!
 
kaka salt jamaa mwenyewe ndo mimi ila mtoto bhado sijamseti vizuri ila ananisumbua kusudi tu na mbaya zaid namba yake ndo iyo imekaa kichwan
 
Nisharudi mbona, nilienda disko vumbi, we hutoki?
au unaogopa hela zako zitaisha ha ha ha

Kwanza hii siku ndo naisikia hapa Jf ni mpya kwangu!!!!!!
Ila kwa sababu imenihamasisha basi nitafungua mziki geto tutacheza na wifi yako kupunguza gharama zisizo kuwa na maana!!!!!!
Mbona umewahi kurudi???????
 
Kwanza hii siku ndo naisikia hapa Jf ni mpya kwangu!!!!!!
Ila kwa sababu imenihamasisha basi nitafungua mziki geto tutacheza na wifi yako kupunguza gharama zisizo kuwa na maana!!!!!!
Mbona umewahi kurudi???????

Disko vumbi mwisho sa kumi na mbili
 
Ha!ha!ha!ha asivyo penda kuacha mali yake nyuma hawezi kusafiri huyu!!!!!

Ila kama ikitokea tafadhali pesa ya usafiri wa kukurudisha sina utajigharamia kla kitu!!!

Yani wewe haaaaa!!!
nahisi ukiombwa hela ya mboga unauliza "ile ya mchana imeisha? Imeisha ishaje mbona ilikuwa nyingi"
i can't u
 
Yani wewe haaaaa!!!
nahisi ukiombwa hela ya mboga unauliza "ile ya mchana imeisha? Imeisha ishaje mbona ilikuwa nyingi"
i can't u

Usiogope hayo ya kawaida tu mambo ya kibinadamu...!
Lazima anyoshe maelezo kama kwa siku tumizi ni elf 10 basi iwe hiyo hiyo kila siku... sio mara hooo sijui imepungua!!!
 
kaka salt jamaa mwenyewe ndo mimi ila mtoto bhado sijamseti vizuri ila ananisumbua kusudi tu na mbaya zaid namba yake ndo iyo imekaa kichwan

mkuu tumiakichwa umeshindwa kutumia kichwa kusoma jina la evelyne SALT na kujua kama ni kaka au ni dada? au ndio unatumia kichwa cha chini leo valentaini??!!!
 
Last edited by a moderator:
Tafuta ufutio halafu uchemshe, baada ya kuchemka ipua na kunywa maji yaliyotumika kuchemshia ufutio huo.

Baada ya nusu saa utakuwa umeifuta hiyo namba na hutaikumbuka tena.
 
Back
Top Bottom