Napata shida mwenzenu nishaurini

Napata shida mwenzenu nishaurini

Tprecious

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2018
Posts
262
Reaction score
350
Nimekuwa na tatizo LA kupenda kungonoka kila siku tofauti na mwenza wangu ambaye anataka Mara tatu kwa wiki
Hali hii imesababisha Mimi kutokuwa na maelewano mazuri na bebi mana anaona kama namkera navyodai kila cku tena asubuhi na ucku.nishaurini nifanye nini.
 
Nimekuwa na tatizo LA kupenda kungonoka kila siku tofauti na mwenza wangu ambaye anataka Mara tatu kwa wiki
Hali hii imesababisha Mimi kutokuwa na maelewano mazuri na bebi mana anaona kama namkera navyodai kila cku tena asubuhi na ucku.nishaurini nifanye nini.
Wow! Fursa hii ngoja niiwahi
 
Nimekuwa na tatizo LA kupenda kungonoka kila siku tofauti na mwenza wangu ambaye anataka Mara tatu kwa wiki
Hali hii imesababisha Mimi kutokuwa na maelewano mazuri na bebi mana anaona kama namkera navyodai kila cku tena asubuhi na ucku.nishaurini nifanye nini.
Tafuta kazi za kufanya uchoshe mwili, hafu acha kukaa nyumbani tu utajikuta muda wote unawaza kugegedwa mwishowe utabaka vijana wa jirani
 
Nimekuwa na tatizo LA kupenda kungonoka kila siku tofauti na mwenza wangu ambaye anataka Mara tatu kwa wiki
Hali hii imesababisha Mimi kutokuwa na maelewano mazuri na bebi mana anaona kama namkera navyodai kila cku tena asubuhi na ucku.nishaurini nifanye nini.

jamaa anajipigia CHAPUO
 
kila jambo linahitahi kiasi, inaonesha hauko busy kama sio kukosa kazi kabisa, na pia ni kama haumpendi huyo mwenza wako, yaa ndio haumpendi au hampendani vilivyo.
 
Fanya tu maana tushaambiwa wavivu ndio hatupendi.
 
Nimekuwa na tatizo LA kupenda kungonoka kila siku tofauti na mwenza wangu ambaye anataka Mara tatu kwa wiki
Hali hii imesababisha Mimi kutokuwa na maelewano mazuri na bebi mana anaona kama namkera navyodai kila cku tena asubuhi na ucku.nishaurini nifanye nini.
Fatilia kati ya wanaume na wanawake ni wepi wengi harafu uje ulalame hapa .
Kiushauri tu unataka hadi akwambie kuwa mtafutie mke mwezie
Dawa ongeza mke atafurahi
 
Back
Top Bottom