Napata matatizo haya kwenye application ya TCU

Napata matatizo haya kwenye application ya TCU

Isaack Newton

JF-Expert Member
Joined
Apr 15, 2013
Posts
619
Reaction score
366
Jamani hawa TCU wazinguaji maana jana kipindi nalog in niki add o level sitting inagoma. Leo tena wananiambia eti majina ya cheti cha private candidate na school candidate yapo tofauti wakati majina kwenye vyeti yapo sawa.

Sasa sijui tatizo ni nini
 
jamani hawa tcu wazinguaji maana jana kipindi nalog in niki add o level sitting inagoma leo tena wananiambia eti majina ya cheti cha private c na school c yapo tofaut wkt majina kwenye vyeti yapo sawa. sasa sijui tatizo ni nini
Duuuh kwel wapgie cm
 
Hawapokei. Mda mrefu sasa na-add o'level sitting bila mafanikio
 
Hata mimi niki-add O-Level sitting inazingua
 
Back
Top Bottom