Napata hofu Juu ya hili!

Napata hofu Juu ya hili!

chakii

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2013
Posts
21,369
Reaction score
27,785
Habari zenu wana-MMU!!

Kwanza natanguliza pole zangu kwa wale wote waliofikwa na maafa ya mafuriko na hata wengine kupoteza maisha!! Nasema poleni sana!

Back to the topic,.

Nimekuwa kwenye mahusiano na mpenzi wangu kwa mwaka sasa,. Yeye yupo Dar na mimi nipo nje ya Dar kimasomo, na yeye pia ni mwanafunzi wa chuo!!

Wakati niliporudi likizo nilimwambia huyu mpenzi wangu akapime afya yake kabla hatujashiriki tendo baada ya kuhakikisha mimi sina tatizo,.

Alienda kwenye hospitali moja hapahapa Jijini Dar inaitwa IMTU akaambiwa yupo salama ila arudi baada ya miezi mitatu kupima tena ili kupata uhakika,.

Nilipokutana na huyu mpenzi wangu nikamuuliza majibu vipi?? Akanijibu hawatoi majibu mpaka mtu apime mara 3 ndiyo wanatoa majibu,.

Kwa kuwa nilimuamini huyu mpenzi wangu nilimuelewa tukala tunda la mti wa kati!! Ila baadae nimekuja kujihoji maswali mengi kwamba inawezekana kweli asipewe matokeo ya vipimo vyake? Au alidanganya?? Wakuu nilitumia mpira maana UKIMWI hatari!!
 
ha ha ha umenichekesha eti nini? unapewa majibu ukishapima mara 3???Hilo changa la macho…..Ninavyojua mm majibu unapewa papo hapo.Huyo mwenzako naona aliondoka bila kuchukua majibu kwa hofu au anayo majibu na si yakuridhisha na ndio maana anakudanganya!!Point of correction:Mlitakiwa mkapime pamoja kuondoa mzizi wa fitina!🙂
 
wanawake mnadanganyika kirahisi.

swali kama hili nilitegemea liulizwe na kiumbe wa darasa la saba huko kijijini ikungulyabashashi kwa sababu ndiko hakuna elimu nzuri juu ya HIV/AIDS...

btw, majibu hutolewa within 30 minutes (considering other factors), hiyo ya kurudi baada ya miezi mitatu ni kwa ajili ya kuthibitisha zaidi kuwa uko affected ama la.

halafu, kwanini hamkwenda kupima pamoja?.. siku hizi watu wana fake mpaka majibu ya VVU/UKIMWI. kuwa macho.
 
wanawake mnadanganyika kirahisi.

swali kama hili nilitegemea liulizwe na kiumbe wa darasa la saba huko kijijini ikungulyabashashi kwa sababu ndiko hakuna elimu nzuri juu ya HIV/AIDS...

btw, majibu hutolewa within 30 minutes (considering other factors), hiyo ya kurudi baada ya miezi mitatu ni kwa ajili ya kuthibitisha zaidi kuwa uko affected ama la.

halafu, kwanini hamkwenda kupima pamoja?.. siku hizi watu wana fake mpaka majibu ya VVU/UKIMWI. kuwa macho.

nina was wasi na elimu yake...... Kwa mwanafunz wa chuo elim ya afya huijui?! Kweli hii product ya Mulugo inamatatizo
 
Habari zenu wana-MMU!!

Kwanza natanguliza pole zangu kwa wale wote waliofikwa na maafa ya mafuriko na hata wengine kupoteza maisha!! Nasema poleni sana!

Back to the topic,.

Nimekuwa kwenye mahusiano na mpenzi wangu kwa mwaka sasa,. Yeye yupo Dar na mimi nipo nje ya Dar kimasomo, na yeye pia ni mwanafunzi wa chuo!!

Wakati niliporudi likizo nilimwambia huyu mpenzi wangu akapime afya yake kabla hatujashiriki tendo baada ya kuhakikisha mimi sina tatizo,.

Alienda kwenye hospitali moja hapahapa Jijini Dar inaitwa IMTU akaambiwa yupo salama ila arudi baada ya miezi mitatu kupima tena ili kupata uhakika,.

Nilipokutana na huyu mpenzi wangu nikamuuliza majibu vipi?? Akanijibu hawatoi majibu mpaka mtu apime mara 3 ndiyo wanatoa majibu,.

Kwa kuwa nilimuamini huyu mpenzi wangu nilimuelewa tukala tunda la mti wa kati!! Ila baadae nimekuja kujihoji maswali mengi kwamba inawezekana kweli asipewe matokeo ya vipimo vyake? Au alidanganya?? Wakuu nilitumia mpira maana UKIMWI hatari!!

Ilipaswa muende pamoja ili mpewe hayo majibu pamoja. Kwa case yako hata akipewa majibu yeye ni positive hutakua na jinsi ya kujua..
 
Ilipaswa muende pamoja ili mpewe hayo majibu pamoja. Kwa case yako hata akipewa majibu yeye ni positive hutakua na jinsi ya kujua..

ahsante kwa ushauri mkuu!!
 
nina was wasi na elimu yake...... Kwa mwanafunz wa chuo elim ya afya huijui?! Kweli hii product ya Mulugo inamatatizo

sijaelewa unazungumzia elimu ya nani mkuu!!


Ahsante kwa kuchangia.
 
ha ha ha umenichekesha eti nini? unapewa majibu ukishapima mara 3???Hilo changa la macho…..Ninavyojua mm majibu unapewa papo hapo.Huyo mwenzako naona aliondoka bila kuchukua majibu kwa hofu au anayo majibu na si yakuridhisha na ndio maana anakudanganya!!Point of correction:Mlitakiwa mkapime pamoja kuondoa mzizi wa fitina!🙂

ahsante mkuu!! Nilitaka kujua kama kweli hii hospital inafanya hivi mkuu,. Ndiyo maana nikatumia kinga maana hata mimi sikumuamini!!
 
kazi kweli kweli kaa kimya kapime wewe ukikuta unao anza mazoezi na kula kwa afya that all
 
Sasa nyie ni wanafunzi wa chuo mko hivyo...je wale darasa la saba vijijini?
 
Habari zenu wana-MMU!!

Kwanza natanguliza pole zangu kwa wale wote waliofikwa na maafa ya mafuriko na hata wengine kupoteza maisha!! Nasema poleni sana!

Back to the topic,.

Nimekuwa kwenye mahusiano na mpenzi wangu kwa mwaka sasa,. Yeye yupo Dar na mimi nipo nje ya Dar kimasomo, na yeye pia ni mwanafunzi wa chuo!!

Wakati niliporudi likizo nilimwambia huyu mpenzi wangu akapime afya yake kabla hatujashiriki tendo baada ya kuhakikisha mimi sina tatizo,.

Alienda kwenye hospitali moja hapahapa Jijini Dar inaitwa IMTU akaambiwa yupo salama ila arudi baada ya miezi mitatu kupima tena ili kupata uhakika,.

Nilipokutana na huyu mpenzi wangu nikamuuliza majibu vipi?? Akanijibu hawatoi majibu mpaka mtu apime mara 3 ndiyo wanatoa majibu,.

Kwa kuwa nilimuamini huyu mpenzi wangu nilimuelewa tukala tunda la mti wa kati!! Ila baadae nimekuja kujihoji maswali mengi kwamba inawezekana kweli asipewe matokeo ya vipimo vyake? Au alidanganya?? Wakuu nilitumia mpira maana UKIMWI hatari!!
Kama uliweza tu kuamini majibu ya mdomoni kuwa "Yupo salama" Kwa nini ulimtaka akapime?? Kama ulitaka kujizuia na maambukizi, kwa nini ulipoambiwa na yeye mwenyewe kuwa "yupo salama" mkalana mbichi??? (bila kinga?). We kwenye umepanga kujiua na kumuua mwenzio!! Yeye alikuamini vipi kuwa upo salama kwa vipimo ulivyofanya peke yako?
 
Kama uliweza tu kuamini majibu ya mdomoni kuwa "Yupo salama" Kwa nini ulimtaka akapime?? Kama ulitaka kujizuia na maambukizi, kwa nini ulipoambiwa na yeye mwenyewe kuwa "yupo salama" mkalana mbichi??? (bila kinga?). We kwenye umepanga kujiua na kumuua mwenzio!! Yeye alikuamini vipi kuwa upo salama kwa vipimo ulivyofanya peke yako?

mimi nilishapima mkuu, na matokeo nilimpa!!

Soma vizuri nilichoandika mkuu!! Nilitumia kinga.
 
sijaelewa unazungumzia elimu ya nani mkuu!!


Ahsante kwa kuchangia.

elimu yako ww! Hiv ktk hali ya kawaida ya mtu aliye chuo kikuu unashindwa kujua jambo dogo kama hlo! Je vp yale yanayotakiwa kuumiza ubongo inakuwaje?? Sku nyingne atakwambia mgegedane mkiwa mumesimama huwez kupata mimba naww utakubali
 
Mkuu amini huna itakua ni tiba tosha ya hofu yako
Cc Pasco
 
Last edited by a moderator:
Changa hilo, wanashauri upime zaid ya mara moja ila kila unapopima unapewa majibu yako
 
Back
Top Bottom