Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 76,360
- 108,504
Wabongo bwana mnaacha kukemea uzinzi mnakazana kutoa ushauri mwingine wa sijui mkapime wote, mara majibu hutolewa hapo hapo n.k.
Mkuu ikimbie zinaa wala hutaishi kwa uoga na wasiwasi kama ulionao kwa sasa...
Ukimwi unaua na kondomu ni jezi ya wazinzi.
Mkuu ikimbie zinaa wala hutaishi kwa uoga na wasiwasi kama ulionao kwa sasa...
Ukimwi unaua na kondomu ni jezi ya wazinzi.