umepima Mara Ngapi kabla ya kudunguana na mwenzio?. Nawe ulisubiri miezi mitatu3.? na KamaKama ulilenga kutumia kinga kwa kutoaaminiana,kwa nini ulimsurutisha mwenzio akapime kabla ya kugegedana.? Maelezo yako yana uwalakini uwenda mlipigana mbichii ninyi..sie tumewatangulia tunayajua haya...hofu ulivyo nayo tu ni kiashiria tosha kuwa mlipigana kavu.mimi nilishapima mkuu, na matokeo nilimpa!!
Soma vizuri nilichoandika mkuu!! Nilitumia kinga.
ahsante kwa ushauri mkuu!!
nina was wasi na elimu yake...... Kwa mwanafunz wa chuo elim ya afya huijui?! Kweli hii product ya Mulugo inamatatizo
umepima Mara Ngapi kabla ya kudunguana na mwenzio?. Nawe ulisubiri miezi mitatu3.? na KamaKama ulilenga kutumia kinga kwa kutoaaminiana,kwa nini ulimsurutisha mwenzio akapime kabla ya kugegedana.? Maelezo yako yana uwalakini uwenda mlipigana mbichii ninyi..sie tumewatangulia tunayajua haya...hofu ulivyo nayo tu ni kiashiria tosha kuwa mlipigana kavu.
ha ha ha umenichekesha eti nini? unapewa majibu ukishapima mara 3???Hilo changa la macho ..Ninavyojua mm majibu unapewa papo hapo.Huyo mwenzako naona aliondoka bila kuchukua majibu kwa hofu au anayo majibu na si yakuridhisha na ndio maana anakudanganya!!Point of correction:Mlitakiwa mkapime pamoja kuondoa mzizi wa fitina!🙂
Habari zenu wana-MMU!!
Kwanza natanguliza pole zangu kwa wale wote waliofikwa na maafa ya mafuriko na hata wengine kupoteza maisha!! Nasema poleni sana!
Back to the topic,.
Nimekuwa kwenye mahusiano na mpenzi wangu kwa mwaka sasa,. Yeye yupo Dar na mimi nipo nje ya Dar kimasomo, na yeye pia ni mwanafunzi wa chuo!!
Wakati niliporudi likizo nilimwambia huyu mpenzi wangu akapime afya yake kabla hatujashiriki tendo baada ya kuhakikisha mimi sina tatizo,.
Alienda kwenye hospitali moja hapahapa Jijini Dar inaitwa IMTU akaambiwa yupo salama ila arudi baada ya miezi mitatu kupima tena ili kupata uhakika,.
Nilipokutana na huyu mpenzi wangu nikamuuliza majibu vipi?? Akanijibu hawatoi majibu mpaka mtu apime mara 3 ndiyo wanatoa majibu,.
Kwa kuwa nilimuamini huyu mpenzi wangu nilimuelewa tukala tunda la mti wa kati!! Ila baadae nimekuja kujihoji maswali mengi kwamba inawezekana kweli asipewe matokeo ya vipimo vyake? Au alidanganya?? Wakuu nilitumia mpira maana UKIMWI hatari!!
mhhhh hii nayo mpyaaaaa!!Si kweli mm mara ya kwanza kupima nilienda Amref pia hawakupi majibu mpaka upime mara 3, kwahyo huyo dada inawezekana yuko sahihi kabisa
mhhhh hii nayo mpyaaaaa!!
mhhhh hii nayo mpyaaaaa!!
Sawa mamii nimekusikia!Utapewa kikaratasi tu kinachoonyesha trh unayotakiwa kurudia kupima
Usiwe na hofu inawezekana kabisa hakupewa majibu kwani hata mm nilipopima mara ya kwanza ckupewa majibu nikaambiwa mpaka nipime mara 3, unapewa tu kikaratasi kinachoandikwa trh ya kurud
mmmmh! Tangu nianze kupima nmepima zaid ya mara 10 lakn cjawahi kupata majibu kama yako na sijawahi kusikia
Usiwe na hofu inawezekana kabisa hakupewa majibu kwani hata mm nilipopima mara ya kwanza ckupewa majibu nikaambiwa mpaka nipime mara 3, unapewa tu kikaratasi kinachoandikwa trh ya kurud
kumbe na wewe umepitia hii mkuu?
Ni kweli aliniambia kapewa tarehe ya kurudi tena kwa vipimo na siyo majibu!!
Nashukuru kwa taarifa mkuu!!
Ulipima hospitali gani?