Garlandlucky
New Member
- Sep 17, 2017
- 3
- 1
Napata changamoto ya kuomba kuhitimu baada ya kuwa na carryover mwaka wa mwisho
Endelea kuombaNapata changamoto ya kuomba kuhitimu baada ya kuwa na carryover mwaka wa mwisho
Nmefanya na nmeshaclearSasa mkuu huoni utatunukiwa shahada/stashahada/astashahada ambayo haustahili kuipata.
Kwa nijuavyo mimi hakuna chuo watakutunuku hicho ulichosomea mpaka ufanye clearance ya hiyo kozi uliyo carry.
Kila la kheri, karibu mtaani sehemu pekee ambako kunahitaji elimu zaidi ya hiyo ulioipata darasaniNmefanya na nmeshaclear
Udsm aseeChuo gani