Napata changamoto ya kumsahau Ex wangu, nifanyeje?

Napata changamoto ya kumsahau Ex wangu, nifanyeje?

HUJAPATA MWANAUME SAHIHI. TULIZA KIPAPIRO KWANZA HICHO. NA KISHA UWE BUSY SISI WANAUME HUWA TUNASAHAU MAPEMA TU. NYIE WANAWAKE HUWA SHIDA TENA KAMA ALIKUWA ANAKUFADHILI UNAMISS PESA ZAKE.

Aione Komeo Lachuma
Ahahahah..kabisaa mkuu, yan hapa nilipo aahhh yan fikra zikizobaki ni ile nina watoto na hao watoto wana mama na hiyo mama ndio ex wife. Hiki ndio kitu pekee nakumbuka mara moja moja kuhusu yule mtu. Nilishamsahau vibaya sana
 
Nilianza na kuchoma moto albamu yetu ya harusi ya picha 500.
Nikachoma moto nguo zoote alizoninunulia
Nikafuta picha zoote kwenye simu za toka 2010
Nikaacha nyumba na kuhama kabisa Dar.
Nilipofika mkoa, nikajipa likizo ya muda mrefu.
mkoani pia sikukaa mjini, nikaenda pembezoni kabisa mwa mji mzee wangu ana mji huko mashambani sana ila kuna umeme na maji.
HUko pembezoni sikutaka kukaa tu iddle, nikafungua mradi wa nguruwe na ufugaji wa kuku chotara , wako kama 500 sasa hivi.
Sasa hivi viumbe vinahitaji ufuatiliaji wa kila siku, so kila siku toka asubuh niko busy.
Mbali na hapo, nikanunua vifaa vya mazoezi bush hapo hapo, nika establish ka local gym, hapo nakula nondo tu alfajiri na jioni.
USiku na sit for my computer works ku serve clients wangu wachache.

Maisha ni completelly different, sio tu nimemsahau, nimetengeneza utaratibu mpya kabisaa ambao hauhusiani hata kidogo na maisha ya zaman katika namna ambayo kumsahau wala sikutumia nguvu. Ikawa ni by default tu, utaratibu ukanitoa kwenye mfumo wa zaman nikajaa kwenye mfumo mpyaa
AM DOING GREAT
 
Nilianza na kuchoma moto albamu yetu ya harusi ya picha 500.
Nikachoma moto nguo zoote alizoninunulia
Nikafuta picha zoote kwenye simu za toka 2010
Nikaacha nyumba na kuhama kabisa Dar.
Nilipofika mkoa, nikajipa likizo ya muda mrefu.
mkoani pia sikukaa mjini, nikaenda pembezoni kabisa mwa mji mzee wangu ana mji huko mashambani sana ila kuna umeme na maji.
HUko pembezoni sikutaka kukaa tu iddle, nikafungua mradi wa nguruwe na ufugaji wa kuku chotara , wako kama 500 sasa hivi.
Sasa hivi viumbe vinahitaji ufuatiliaji wa kila siku, so kila siku toka asubuh niko busy.
Mbali na hapo, nikanunua vifaa vya mazoezi bush hapo hapo, nika establish ka local gym, hapo nakula nondo tu alfajiri na jioni.
USiku na sit for my computer works ku serve clients wangu wachache.

Maisha ni completelly different, sio tu nimemsahau, nimetengeneza utaratibu mpya kabisaa ambao hauhusiani hata kidogo na maisha ya zaman katika namna ambayo kumsahau wala sikutumia nguvu. Ikawa ni by default tu, utaratibu ukanitoa kwenye mfumo wa zaman nikajaa kwenye mfumo mpyaa
AM DOING GREAT
kila kitu kinawezekana👊
 
Back
Top Bottom