Napasua Jipu.....pwaaaaaaaaaaaa

Napasua Jipu.....pwaaaaaaaaaaaa

bacha

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2010
Posts
4,282
Reaction score
799
Uongo mbaya wadau wangu,

yawezekana hizi zikawa ni hisia zangu tu,

lakini nimeona bora niseme...lol...


''Jamani najisikiaga raha sana, unapokuwa na mupenzi faragha (mtoto wa kike)

halafu akawa anakudatisha kwa vijisauti vya kujiliza wakati mna du....lol...,

yaani hata kama ni vya uongo, basi wewe nidanganye danganye tu......

Vinginevyo, vya kibubu bubu siviwezi mie...sichelewi kutupa kuleeeeee

mtanisamehe bure''

wahanga wenzangu, najua mpo,

kwa akina dada sijui hisia zao, labda nao wanaweza funguka........

Jioni njema, Mbarikiwe sana!!!!!!
 
Daaaah mwa hiyo kulia kwako ndiyo ugonjwa?? Suburi uwe na geto moja halafu unataka kudo na demu anayejiliza ovyo ovyo.
 
Daaaah mwa hiyo kulia kwako ndiyo ugonjwa?? Suburi uwe na geto moja halafu unataka kudo na demu anayejiliza ovyo ovyo.


Kaka Losambo, heri nusu shari kuliko shari kamili ujue.......
 
vingine huwa ni vya uongo..tunaamua kupretend tu

na we ujione unajua kuitumia storongo yako kumbe hakuna lolote


si ndio maana nasema kuwa basi hata kma ni urongo......,

basi wewe nidanganye danganye tu.......,

jamani wengine sie mizuka ipo kwenye vijisauti lol...
 
Kelele hizo hizo mku zimeshawagharimu watu sana ndoa na mahusiano yao.

Yaani akisikia tu hiyo miguno europeans haaaooo! na kurudi tena jukwaani ni mshikemshike.

so nashauri wale wahanga wa sauti hizi wawe wanaenda na helment ikiwezekana.
Uongo mbaya wadau wangu,

yawezekana hizi zikawa ni hisia zangu tu,

lakini nimeona bora niseme...lol...


''Jamani najisikiaga raha sana, unapokuwa na mupenzi faragha (mtoto wa kike)

halafu akawa anakudatisha kwa vijisauti vya kujiliza wakati mna du....lol...,

yaani hata kama ni vya uongo, basi wewe nidanganye danganye tu......

Vinginevyo, vya kibubu bubu siviwezi mie...sichelewi kutupa kuleeeeee

mtanisamehe bure''

wahanga wenzangu, najua mpo,

kwa akina dada sijui hisia zao, labda nao wanaweza funguka........

Jioni njema, Mbarikiwe sana!!!!!!
 
Kelele hizo hizo mku zimeshawagharimu watu sana ndoa na mahusiano yao.

Yaani akisikia tu hiyo miguno europeans haaaooo! na kurudi tena jukwaani ni mshikemshike.

so nashauri wale wahanga wa sauti hizi wawe wanaenda na helment ikiwezekana.



dah, kaka helmeti tena...lol..nimecheka sana,

ila kaka, uongo mbaya sauti zina mzuka wake aisee,

nadhani ndo maana wadada wameona hapo ndo pa kutushika...lol
 
Back
Top Bottom