Napaona nyumbani

Napaona nyumbani

neno1

Senior Member
Joined
Oct 9, 2013
Posts
196
Reaction score
141
Sina muda mrefu humu jukwaani na bado hata rafiki sina lakina napaona nyumbani. Na kwa maisha ninayoishi kwa sasa jf imekuwa sehemu kubwa ya kampani yangu

Kwa yoyote ambaye angependa kuwa rafiki na mimi namkaribisha
 
^^
Urafiki wa aina gani?
^^

Wa kufahamiana tu mtu wangu, maana yote huanzia hapo. Si unajua humu kama kuhamia shule ngeni kuepusha upweke inabidi uwe na marafiki
 
Wa kufahamiana tu mtu wangu, maana yote huanzia hapo. Si unajua humu kama kuhamia shule ngeni kuepusha upweke inabidi uwe na marafiki

^^
Jaribu love connect itakusaidia !
Weka wazi jinsia yako na vigezo vyako.
Vinginevyo uende chit chat utoe maelezo yako utampata wa kuchart nae in public.
Kila la kheri neno1
^^
 
Last edited by a moderator:
Sina muda mrefu humu jukwaani na bado hata rafiki sina lakina napaona nyumbani. Na kwa maisha ninayoishi kwa sasa jf imekuwa sehemu kubwa ya kampani yangu Kwa yoyote ambaye angependa kuwa rafiki na mimi namkaribisha
Jf haiwezi kuwa kampani yako kwani jf ni maandishi tu. Kwani hapo unapoishi hamna watu?
 
JF raha kweli, yaani hatauchovu unaisha maana kila aina ya jibu utapata hata usiyoyafikiria! ndugu kala kona au kasimu kameisha charge! tehetehe!
 
Jf haiwezi kuwa kampani yako kwani jf ni maandishi tu. Kwani hapo unapoishi hamna watu?

Maisha yana pilika nyingi rafiki yangu, inafika kipindi jirani hamwonani wiki. Mtu wa karibu siku hizi amekuwa aliye kwenye simu au mitandao ya kijamii
 
JF raha kweli, yaani hatauchovuunash maana kila ana ya jibu tapata hata usiyoyafikira! ndugu kala kona au kasimu kamesa charge! tehetehe!

Haaa bado kana charge bana
 
Back
Top Bottom