#COVID19 Napambana na COVID-19 deadly Delta

Awamu ya pili nilikumbana na huu ugonjwa, kiukweli ugonjwa huu unatesa sana mgonjwa, ni gharama hata kama una hela, kwa asie na hela hali yake ni ngumu sana. Nilisumbuka sana kipambania afya kipindi kile japo nilikuwa na chukuwa tahadhari sana ila watu wanaonizunguka wanaenda sehemu kama Kariakoo, bar, makanisani na mbaya zaidi wengi hawachukui tahadhari.

Serikali inatakiwa kuchukuwa hatua kali sana bila kuoneana huruma maana huu ugonjwa ukiingia kwenye familia ni janga kubwa sana. Kwa ambaye alishapata huu ugonjwa au ambaye kwenye familia yake kumeahapatikana mgonjwa ndio atakuwa anajua jinsi huu ugonjwa unavyotumia gharama kubwa kupambana nao.
Ni kweli,kupambana nao ni gharama.nilitumia laki 2 kwa vipimo na dawa
 
Habari !!
Siku ya jumanne ya week iliyopita nilkumbwa na hali ya joto kuwa juu,kikohozi kikavu na mafua makali nilienda hospitali nikagundulika nina malaria nikatumia dose lakini dose iliisha bila kupata ahueni na dalili zingine kama mwili kuuma maumivu makali sana na baridi kali, tonsils kuuma,kuharisha (sio mara kwa mara) na vipele kutokea mwilini ikabidi nirudi tena hospital nikafanya vipimo kadhaa majibu yakatoka nina viral sepsis na ikaonekana nina dalili zote za Covid 19 (which is true kutokana na ninavyojisikia sasa hv) nikapewa dawa zifuatazo:Ibuprufen,Loratadine,Cefixime na predilone. Ambazo nimetumia kuanzia jumatatu lakini hali yangu bado haijaimarika kwani sasa hv kifua kinauma sana hasa nikikohoa na pia nimepoteza harufu kabisa sipati harufu ya kitu chochote ila hali ya kupata maumivu makali ya mwili pamoja na tonsils kuuma imeisha
Kwa yeyote aliyepita hali hii au anaweza kunisaidia namna yoyote ya kufanya kwani naumia sana.(Ninatumia pia mchanganyiko wa wa juice ya malimao na tangawizi )
Polee Sana mkuu, jitahidi kwenda hospital ili kuchek vizuri Hali ya mapafu, oxygen levels, ili uwahi mapema Kabla Hali haijawa mbaya zaidi
 
Why ikatae mkuu? Ume Jaribu kununua?
Yea. Ambacho nimeona mpaka sasa ni kwamba ukiwa unasajili akaunti ya kuingilia playstation network unatakiwa uchague nchi ila kwa Africa nchi eligible ni SA.

Nikachagua SA ilivyofika muda wa kulink akaunti na mastercard inakua inagoma kwakua credentials zinaonyesha kwamba ni za Tz na kanuni zao hazitaki taarifa za akaunti zitofautiane na taarifa za mastercard.

Online suluhu nilizoona mpaka sasa ni kununua gift cards za psn ambazo zinaendana na nchi uliyosajilia ili kuliruka swala la kutakiwa kutumia mastercard. Suluhisho jingine ni kununua akaunti za watu ambazo tayari zina magemu.

Sasa hawa wanaoingizia watu magemu naona wako free sana ni kama vile hawabanwi na hii ishu najua lazima kuna namna watakua wanayo ila ni siri. Nimewauliza wawili wanaishia kucheka tu hawajibu.
 
Habari !!
Siku ya jumanne ya week iliyopita nilkumbwa na hali ya joto kuwa juu,kikohozi kikavu na mafua makali nilienda hospitali nikagundulika nina malaria nikatumia dose lakini dose iliisha bila kupata ahueni na dalili zingine kama mwili kuuma maumivu makali sana na baridi kali, tonsils kuuma,kuharisha (sio mara kwa mara) na vipele kutokea mwilini ikabidi nirudi tena hospital nikafanya vipimo kadhaa majibu yakatoka nina viral sepsis na ikaonekana nina dalili zote za Covid 19 (which is true kutokana na ninavyojisikia sasa hv) nikapewa dawa zifuatazo:Ibuprufen,Loratadine,Cefixime na predilone. Ambazo nimetumia kuanzia jumatatu lakini hali yangu bado haijaimarika kwani sasa hv kifua kinauma sana hasa nikikohoa na pia nimepoteza harufu kabisa sipati harufu ya kitu chochote ila hali ya kupata maumivu makali ya mwili pamoja na tonsils kuuma imeisha
Kwa yeyote aliyepita hali hii au anaweza kunisaidia namna yoyote ya kufanya kwani naumia sana.(Ninatumia pia mchanganyiko wa wa juice ya malimao na tangawizi )
Mi nilitokewa na iyo hali mwaka jana mwez wa 5 na kikubwa jitahidi kufanya mazoezi na kujifukiza
 
  • Thanks
Reactions: ris
Habari 👋🏾

Kumekuwa na hali ya watu wengi kupuuza na kutokuchukua tahadhari ya ugonjwa wa UVIKO na wengine wakienda mbali kudai hakuna ugonjwa kama huo. Napenda kuwaambia COVID-19 deadly Delta yupo Tanzania na kila mahali, nimepatwa na ugonjwa ilhali nipo eneo lilotengwa na pembezoni katika nchi.

Toka juzi jioni najihisi vibaya, napumua kwa shida, nimebwana kifua, mafua na kikohozi. Uwezo wa kusikia na kuona umepungua sana, nahisi maumivu katika mifupa na maungio ya mwili. Homa na koo kukabwa, kuwashwa, kuhisi damu ya baridi, jaws (tezi) kuwa na maumivu makali na ngozi kuakisi rangi ya bluu na kizunguzungu ni hali ninazopambana nazo.

Namna nahisi afya yangu kwa sasa, niseme nisengelikuwa mtu wa mazoezi parapanda ingekwisha imbwa. Sio kwamba sikuchukua tahadhari lah! Nimekuwa nikizingatia taratibu zote toka mlipuko huu kutokea Wuhan lakini nimekwamishwa na jamii ya watu walionizunguka.

Nimeorodhesha dalili na hali kuweza kusaidia mamlaka na watu kufahamu hali ilivyo. Hali ikiendelea hivi itatuchukua miaka 10 kupambana na COVID-19 ikiwa tumezungukwa na watu wenye mentality za hovyo na wasiojali wala kuchukua tahadhari.

Sergio 🐰
kinachonishangaza kwa uzoefu wangu ni kwamba,wale wanaofuata taratibu kama kuvaa barakoa na kunawa mikono ndio wanaougua,...mfano wewe,unasema tatizo watu wanaokuzunguka hawachukui tahadhari,pia kuna mwingine humu anasema aliugua ingawa alikua anachukua tahadhari ila tatizo ni wale waliomzunguka.....huwa natafakari sana haya....mbona wale careless kabisa hawaugui?...Mfano pale mtaa wa Kongo Kariakoo,kuna mchanganyiko wa watu wengi zaidi kuliko eneo lolote Tanzania na watu hawavai barakoa!!!

Kuna mmoja alisema huu ugonjwa ni selective sana!!....ila mimi nasema kwamba kuna kitu watu hawakioni,ni wachache sana ndio tunaweza kukiona,...inahitaji weledi na kufikiri kwa kina....mimi nimekaa na hao waliokua wanasemwa wanaugua ugonjwa huo na sikua navaa barakoa lakini sikuugua!!....hekima na akili inahitajika hapa....

Wazungu hasa mataifa ya uingereza na Marekani na hata China ndio wanaoongoza kuchukua tahadhari na Afrika ndio very careless lakini wazungu ndio tunaosikia wanaathirika zaidi na kufa sana kuliko Afrika!!!....hekima na akili inahitajika hapa....we are shooting wrong target bila kujua....na tunajiamini kwamba hiyo ndio target....

Nakumbuka zamani wakati wa mlipuko wa magonjwa kama SMON na SCURVY watu walipiga wrong target kwa muda mrefu sana na wengi walikufa sana mpaka walipoacha siasa kwenye medicine ndipo wakaja kugundua the real cause....

Kazi kubwa ya propaganda ni kuigeuza akili timamu ya mtu ili aamini zaidi kile anachoambiwa kuliko kile anachokiona yeye mwenyewe....

Swali:
Naomba kwa yeyote anayejua dalili moja tu ambayo ipo kwenye covid19 ambayo huwezi kuikuta kwenye seasonal flu/Influenza.Naomba aweke hapa dalili hiyo.
 
Habari !!
Siku ya jumanne ya week iliyopita nilkumbwa na hali ya joto kuwa juu,kikohozi kikavu na mafua makali nilienda hospitali nikagundulika nina malaria nikatumia dose lakini dose iliisha bila kupata ahueni na dalili zingine kama mwili kuuma maumivu makali sana na baridi kali, tonsils kuuma,kuharisha (sio mara kwa mara) na vipele kutokea mwilini ikabidi nirudi tena hospital nikafanya vipimo kadhaa majibu yakatoka nina viral sepsis na ikaonekana nina dalili zote za Covid 19 (which is true kutokana na ninavyojisikia sasa hv) nikapewa dawa zifuatazo:Ibuprufen,Loratadine,Cefixime na predilone. Ambazo nimetumia kuanzia jumatatu lakini hali yangu bado haijaimarika kwani sasa hv kifua kinauma sana hasa nikikohoa na pia nimepoteza harufu kabisa sipati harufu ya kitu chochote ila hali ya kupata maumivu makali ya mwili pamoja na tonsils kuuma imeisha
Kwa yeyote aliyepita hali hii au anaweza kunisaidia namna yoyote ya kufanya kwani naumia sana.(Ninatumia pia mchanganyiko wa wa juice ya malimao na tangawizi )
Pole sana,mpaka hapo umeshapona.Endelea kutumia dawa ulizopewa zikiisha hali bado rudi tena hospitali.
Mimi ni mhanga pia nimepitia hayo maumivu unayoyapata na yatapungua taratibu.
Niko ndani wiki ya tatu sasa napambana na changamoto zake ikiwemo maumivu ya mifupa
 
Yea. Ambacho nimeona mpaka sasa ni kwamba ukiwa unasajili akaunti ya kuingilia playstation network unatakiwa uchague nchi ila kwa Africa nchi eligible ni SA.

Nikachagua SA ilivyofika muda wa kulink akaunti na mastercard inakua inagoma kwakua credentials zinaonyesha kwamba ni za Tz na kanuni zao hazitaki taarifa za akaunti zitofautiane na taarifa za mastercard.

Online suluhu nilizoona mpaka sasa ni kununua gift cards za psn ambazo zinaendana na nchi uliyosajilia ili kuliruka swala la kutakiwa kutumia mastercard. Suluhisho jingine ni kununua akaunti za watu ambazo tayari zina magemu.

Sasa hawa wanaoingizia watu magemu naona wako free sana ni kama vile hawabanwi na hii ishu najua lazima kuna namna watakua wanayo ila ni siri. Nimewauliza wawili wanaishia kucheka tu hawajibu.
Watu wanatengeneza account za US na card wananunua Amazon, tena sometime inaweza kuwa cheap kuliko Master card, ukipata card una fill wallet yako.
 
Acha joke, watu wanaeeleza experience zao za COVID wewe unaulizia game? kwanini hujam-PM?
😅

Inaonekana Castr alikuwa anatutafuta sana mimi na Chief, sema nimeweika low kwa heshima maana angeweza kutu-tag kwenye Arsenal Thread maana sports na games ni niche moja.
 
Habari !!
Siku ya jumanne ya week iliyopita nilkumbwa na hali ya joto kuwa juu,kikohozi kikavu na mafua makali nilienda hospitali nikagundulika nina malaria nikatumia dose lakini dose iliisha bila kupata ahueni na dalili zingine kama mwili kuuma maumivu makali sana na baridi kali, tonsils kuuma,kuharisha (sio mara kwa mara) na vipele kutokea mwilini ikabidi nirudi tena hospital nikafanya vipimo kadhaa majibu yakatoka nina viral sepsis na ikaonekana nina dalili zote za Covid 19 (which is true kutokana na ninavyojisikia sasa hv) nikapewa dawa zifuatazo:Ibuprufen,Loratadine,Cefixime na predilone. Ambazo nimetumia kuanzia jumatatu lakini hali yangu bado haijaimarika kwani sasa hv kifua kinauma sana hasa nikikohoa na pia nimepoteza harufu kabisa sipati harufu ya kitu chochote ila hali ya kupata maumivu makali ya mwili pamoja na tonsils kuuma imeisha
Kwa yeyote aliyepita hali hii au anaweza kunisaidia namna yoyote ya kufanya kwani naumia sana.(Ninatumia pia mchanganyiko wa wa juice ya malimao na tangawizi )
Endelea kutumia mchanganyiko wa juice ya limao na tangawizi,

Fanya mazoezi hata kama unaona hali ni mbaya

Tumia vitamin c kwa wingi

Hii kitu imenikuta na kama kufa ilitakiwa nife Jtatu usiku au Jnne ya wiki hii ila Mungu amenipa nafasi nyingine

Mbinu niliyitumia nikiwa katikati ya maumivu makali ya mwili na mbavu kuuma, niliinuka nikavaa viatu vya mazoezi nikaingia road(jogging kama ½ km nikarudi hom)

Usiku wake nikahisi kufakufa ila asubuhi nikaamka na nafuu

Na huu ndio utaratibu niliinao hadi sasa naelekea kupona kabisa

NB: kitu cha ajabu nilichogundua kwenye ugonjwa huu, wanangu wadogo na mke wangu wameishia kupata vipele tu, hawajaathirika sana kama mimi,

Mungu yupo.
 
😅

Inaonekana Castr alikuwa anatutafuta sana mimi na Chief, sema nimeweika low kwa heshima maana angeweza kutu-tag kwenye Arsenal Thread maana sports na games ni niche moja.
najua hivyo nimemsema tu kama joke, kwa sababu tunakutana mara kwa mara kwenye jukwaa la arsenal
 
Back
Top Bottom