Sir R
JF-Expert Member
- Oct 23, 2009
- 2,175
- 297
Kwa kuwa mwaka huo watu katika jimbo likozaliwa waikataa CCM kwa kuchagua CHADEMA;
Kwa kuwaunga mkono ntafanya operation otesha miti katika kijiji nilikozaliwa. Shughuli ninategemea kufanya wakati wa likizo ya mwezi decemba 2010. Ntahamasisha vijana kwa wazee kushiriki katika operation hii li kutunza mazingira. Ntawaeelimisha kidato cha NNE waliomaliza masomo yao mwaka huu washiriki kikamilifu kufanikisha shughuli hii.
Wakati huo huo ntatoa elimu ya urai. Ili moto huu wa mabadiliko usipoe
Anakaribisha michango namna bora ya kufanikisha operation hii.
Kwa kuwaunga mkono ntafanya operation otesha miti katika kijiji nilikozaliwa. Shughuli ninategemea kufanya wakati wa likizo ya mwezi decemba 2010. Ntahamasisha vijana kwa wazee kushiriki katika operation hii li kutunza mazingira. Ntawaeelimisha kidato cha NNE waliomaliza masomo yao mwaka huu washiriki kikamilifu kufanikisha shughuli hii.
Wakati huo huo ntatoa elimu ya urai. Ili moto huu wa mabadiliko usipoe
Anakaribisha michango namna bora ya kufanikisha operation hii.