Naota nimeolewa na mtoto mdogo

Naota nimeolewa na mtoto mdogo

Piga magoti Mungu akusaidie maana huenda hyo ni roho ambayo sio nzuri
 
...ukibandikwa mkono tu wanachomoka viumbe,nenda kapigwe upako...
 
karma alvin

Kabla ya kutafta tafsiri ya ndoto yako,chunguza kwanza wewe,mawazo yako ya kila siku yanakuwa based on nini?kwa sababu ndoto huwa ni mkusanyiko wa mawazo na matukio ya siku,mfano umeshinda makaburini hiyo siku lazima utaota ndoto za mizimu mizimu tu,kama haya yote hayapo unaweza kuwaona wachungaji kama wewe ni mkristo au ma sheikh kama ni muislam watakusaidia
 
Last edited by a moderator:
nenda kanisani kaombewe mapema, umevamiwa na jini, naongea kwa uzoefu, ukisikiliza story za hapa kwamba ni just a dream umeumia.
 
Acha uolewe maana umezidi kupenda watoto
 
Tafsiri ya mtoto mdogo ni mtu asiyejua jema na baya kwa maana nyingine ni mcha mungu simaanishi kuwa anasali ila mungu anamjua kuwa mtu wake
 
Hakuna jambo baya kama kuota unaolewa au unafanya mapenzi.Ni jini mahaba huyo,leo unaota unaolewa,kesho utaota unafanya mapenzi.NENDA UKAOMBEWE KWA JINA LA YESU.
 
Jaribu kulala tena,hiyo ndoto ikijirudia kacharaze bakora za kutosha hako katoto...hakatorudi tena
 
Dada una jini mahaba na hiyo si ndoto pekee huwa limeshakupenda huwa linakuja kutimiza haja zake na kukupumbaza kama ndoto ukiwa umeolewa na mtoto.Tayari uko kwenye engagement nalo.Fanya yafuatayo kama wewe ni mkristo usiwe unalala bila kuomba,soma neno la Mungu (Biblia) kanla ya kulala na kanisani mwambie mchungaji wako ili akufanyie maombi ya kulitoa hilo pepo.
 
Back
Top Bottom