enjai ya kyasha
JF-Expert Member
- Apr 6, 2017
- 3,097
- 3,654
Habari za mda huu wakuu wana MMU natumai mu wazima na mnaendelea vyema kuijenga Tz ya viwanda.
Tikiwa tunaendelea kufarijiana na msiba wa dada yetu kipenzi J. Magufuli naomba nowape kisa changu, kabla ya yote naomba ku declare interest kuwa mm ni kijana wa kiume mid 20s na stori yangu inatokana na kupungua kwangu kwa uactiveness wa mambo ya mahusiano
Miaka kadhaa ilopita wakati nasoma o level na a level + mwaka wa kwanza chuo nilikua active sana kwenye mitongozo sikuwahi kuchezea fursa hata siku moja, nilikua najikubali sana linapokuja suala la kutongoza hata demu awe mkali kiaje na kama ilivyo ada ya utongozaji sheria namba 17 kifungu cha 3b "kwenye kutongoza kuna kupata na kukosa so never be disappointed ukimkosa demu ni sehem ya mchezo" Mwisho wa kunukuu. Kutokana na hivyo niliwapata wengi na kuwakosa wachache hata kama sina mia mfukoni.
Sanjali na hayo pia nilikua mtaalam wa kubambia niwapo disco na pindi niendapo bar nilijua kuwaopoa wahudumu vizuri tu kwakweli nilikua kijana machachari sana.
Pia katika uvaaji sikua nyuma nilijua kuvaa vizuri japo sikuwahi kuvaa nguo za gharama kubwa kutokana na hali ya uchumi. Hivyo nilijipenda kadri hali ilivyruhusu.
Sasa tatizo langu lilianza nilipoingia mwaka wa tatu chuoni: Nilikua mzito kumsimamisha demu achilia mbali kutongoza hata ikitokea nimekaa na demu ilikua ngumu ku initiate conversation. Nilipojitahidi kumsimamisha demu na kumwongelesha sikufika mbali make nikijibiwa fyongo mara moja naamsha namuacha demu huku nikitukana moyoni. Hali hii imeenda sanjari na kwa mabar maid ambao nao sina tena maujanja ya kuwatokea hta niwe na milioni mfukoni. Hali hii imenifanya niishi miez mingi bila kugegeda japo sina kadi ya chaputa. Mwanzoni sikuona tatizo maana nilidhani sijapata soulmate wangu na mda ukifika ntampata nilienda mbali zaidi kwa kujipa moyo kuwa madem wa chuo wa kazi gani (nahisi hii ilikua defensive mechanism)
Tatizo hili limeendelea mpaka nimegraduate chuo na mda huu nko mtaani ila naona hali ni ile ile. Toka nije kitaa nimekua domo zege wa hatari naogopa kuwatokea madem na nikiwatokea hatufikii muafaka yani ni full frustration.
Mwisho kabisa najua humu kuna wataalam wa saikolojia pamoja na wadau mbalimbali wenye experience na haya mambo, naombeni mnishauri je hii hali imetokana na nini maana mi sielewi na nifanyeje ili kuondokana na hii hali make inanitesa sana naona kama nazeeka bado kjjana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tikiwa tunaendelea kufarijiana na msiba wa dada yetu kipenzi J. Magufuli naomba nowape kisa changu, kabla ya yote naomba ku declare interest kuwa mm ni kijana wa kiume mid 20s na stori yangu inatokana na kupungua kwangu kwa uactiveness wa mambo ya mahusiano
Miaka kadhaa ilopita wakati nasoma o level na a level + mwaka wa kwanza chuo nilikua active sana kwenye mitongozo sikuwahi kuchezea fursa hata siku moja, nilikua najikubali sana linapokuja suala la kutongoza hata demu awe mkali kiaje na kama ilivyo ada ya utongozaji sheria namba 17 kifungu cha 3b "kwenye kutongoza kuna kupata na kukosa so never be disappointed ukimkosa demu ni sehem ya mchezo" Mwisho wa kunukuu. Kutokana na hivyo niliwapata wengi na kuwakosa wachache hata kama sina mia mfukoni.
Sanjali na hayo pia nilikua mtaalam wa kubambia niwapo disco na pindi niendapo bar nilijua kuwaopoa wahudumu vizuri tu kwakweli nilikua kijana machachari sana.
Pia katika uvaaji sikua nyuma nilijua kuvaa vizuri japo sikuwahi kuvaa nguo za gharama kubwa kutokana na hali ya uchumi. Hivyo nilijipenda kadri hali ilivyruhusu.
Sasa tatizo langu lilianza nilipoingia mwaka wa tatu chuoni: Nilikua mzito kumsimamisha demu achilia mbali kutongoza hata ikitokea nimekaa na demu ilikua ngumu ku initiate conversation. Nilipojitahidi kumsimamisha demu na kumwongelesha sikufika mbali make nikijibiwa fyongo mara moja naamsha namuacha demu huku nikitukana moyoni. Hali hii imeenda sanjari na kwa mabar maid ambao nao sina tena maujanja ya kuwatokea hta niwe na milioni mfukoni. Hali hii imenifanya niishi miez mingi bila kugegeda japo sina kadi ya chaputa. Mwanzoni sikuona tatizo maana nilidhani sijapata soulmate wangu na mda ukifika ntampata nilienda mbali zaidi kwa kujipa moyo kuwa madem wa chuo wa kazi gani (nahisi hii ilikua defensive mechanism)
Tatizo hili limeendelea mpaka nimegraduate chuo na mda huu nko mtaani ila naona hali ni ile ile. Toka nije kitaa nimekua domo zege wa hatari naogopa kuwatokea madem na nikiwatokea hatufikii muafaka yani ni full frustration.
Mwisho kabisa najua humu kuna wataalam wa saikolojia pamoja na wadau mbalimbali wenye experience na haya mambo, naombeni mnishauri je hii hali imetokana na nini maana mi sielewi na nifanyeje ili kuondokana na hii hali make inanitesa sana naona kama nazeeka bado kjjana.
Sent using Jamii Forums mobile app