GE2025 Naona kuna hujuma ya kumtoa Mpina ili ionekane Uchaguzi ni kama wa Upande mmoja, CCM iwe makini

GE2025 Naona kuna hujuma ya kumtoa Mpina ili ionekane Uchaguzi ni kama wa Upande mmoja, CCM iwe makini

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
104,319
Reaction score
183,521
Fikiria kama huyo Luhaga Mpina akiondolewa kugombea Urais Uchaguzi huu, katika kubalance mambo mbalimbali na utamaduni wetu vitaonekanaje?

Nahisi hawa hawa ACT wazalendo kuna kamchezo wanafanya kuiumiza CCM

Haiwezekani wao kama chama walikubaliana na kumpokea Mpina na kumpa uanachama na baadaye kumteua awe mgombea wao nafasi ya Urais
Alafu sasa anajitokeza tena mwanachama mwenzao anapinga Mpina kuwa Mgombea Urais ni kwamba yeye hakuhudhuria vikao hapo mwanzo au ndo michezo inaendelea

1755512309962.png

"Na Luhaga Mpina akishindwa kwenye mission yake hii atarudi CCM kama alivyofanya Hayati Bernard Membe. Hata Hayati Edward Lowassa alitikisa nchi, tunakubaliana?

"Alirudi CCM au Hakurudi? Kwanini tuendelee kutumika? Kwanini tujenge taasisi kwa uchungu, muda halafu tuache tu watu wake wafanye ndio majukwaa yao ya kutolea hasira zao. Tusikubali kutumika.

" Na Chama ili kipate credit kwa Watanzania ni lazima Luhaga Mpina aondolewe kwenye nafasi hiyo kugombea Urais"- Monalisa Joseph Ndala - Katibu Muenezi ACT- WAZALENDO mkoa wa Dar - es Sala


Chanzo: CLOUDS TV
 
Fikiria kama huyo Luhaga Mpina akiondolewa kugombea Urais Uchaguzi katika kubalance mambo mbalimbali na utamaduni wetu vitaonekanaje?

Nahisi hawa hawa ACT wazalendo kuna kamchezo wanafanya kuiumiza CCM

Zitto alichukua mgao mwenyewe akiahidi kuwapa wenzie. Amekuwa anawazungusha na simu hapokei. Sasa nao wamekwazika wanaona pesa anapiga yeye ambaye alisema anastaafu na wao wanapigwa na jua tu na kukauka makoo.
 
Fikiria kama huyo Luhaga Mpina akiondolewa kugombea Urais Uchaguzi katika kubalance mambo mbalimbali na utamaduni wetu vitaonekanaje?

Nahisi hawa hawa ACT wazalendo kuna kamchezo wanafanya kuiumiza CCM

Wote dugu moja hao yote janja janja na hataenguliwa huyo.
 
Wewe huoni Chadema wanayofanyiwa? Tena bora mpina aondolewe maana amekiuka utaratibu wa chama chao, ni sawa na Samia alivyowekewa pingamizi mahakamani
 
Fikiria kama huyo Luhaga Mpina akiondolewa kugombea Urais Uchaguzi katika kubalance mambo mbalimbali na utamaduni wetu vitaonekanaje?

Nahisi hawa hawa ACT wazalendo kuna kamchezo wanafanya kuiumiza CCM
Hii ni sawa na kukusanya FEDHA Chafi toka kwa kina singasinga mliwaita WAHUJUMU UCHUMI na kuziita fedha za HARAMBEE?
Yaani kwakuwa ni Harambee tu basi huangalii nani wa kumualika nani wa kuchangia
 
Back
Top Bottom