General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,316
- 23,187
Jamaa anamwaga siri za watu. Hakuna mchawi katika biashara kama kujua weakness ya mshindani wakoUna waambia Hivyo ....utasababisha jamaa wawatu afanyiwe hujuma sasa hivi...
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna siri gani sasa hapo mkuu?Jamaa anamwaga siri za watu. Hakuna mchawi katika biashara kama kujua weakness ya mshindani wako
Sent using Jamii Forums mobile app
Dahh mimi sio mlevi ....lakini mpaka hapo kwa huo muonekano wa hiyo chupa ya k.vant ...umedhihirisha Kwamba konyagi ni kampuni inayoongozwa na watu ambao ni wavivu wa kufikiri ....
Hiyo chupa yao " .ya K.vant ...ni kama balaa la chupa ya maji ya Hill water ... kampuni enyeji za maji zijipangeDahh mimi sio mlevi ....lakini mpaka hapo kwa huo muonekano wa hiyo chupa ya k.vant ...umedhihirisha Kwamba konyagi ni kampuni inayoongozwa na watu ambao ni wavivu wa kufikiri ....
Kinywaji cha miaka mingi lakini ubunifu wa mwaka ,80
Sent using Jamii Forums mobile app
Konyagi wako kihafidhina,Hii packaging yao mpya na branding ya K Vant inatamanisha kunywa hata kama wewe sio mlevi.
Yaani chupa zo zina swagga flan hv classy na nadhani hiyo ni moja ya sababu, ukiangalia chupa za Konyagi ziko too local
Sent using Jamii Forums mobile app
Biashara ni figisu mkuu, waweze ona hamna cha maana lakini watu wakapata pa kuanzia. Hasa ukizingatia biashara za wakati huu wa Magu.
Tatizo la Marketing manager....Dahh mimi sio mlevi ....lakini mpaka hapo kwa huo muonekano wa hiyo chupa ya k.vant ...umedhihirisha Kwamba konyagi ni kampuni inayoongozwa na watu ambao ni wavivu wa kufikiri ....
Kinywaji cha miaka mingi lakini ubunifu wa mwaka ,80
Sent using Jamii Forums mobile app
Wenyewe wanajua bila ya hata mimi kusema....Biashara ni figisu mkuu, waweze ona hamna cha maana lakini watu wakapata pa kuanzia. Hasa ukizingatia biashara za wakati huu wa Magu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hill anamfyekelea mbali Afya....Hiyo Chupa yao " .ya K.vant ...ni kama balaa la chupa ya maji ya Hill water ... kampuni enyeji za maji zijipange
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa mkuu wacha tumtakie kila lililo jema katika biashara yakeWenyewe wanajua bila ya hata mimi kusema....
Kwan unafikiri hawaoni?
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee hata mimi nimewaza hivyoUna waambia Hivyo ....utasababisha jamaa wawatu afanyiwe hujuma sasa hivi...
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu jaribu kuonja hata kidogo labda unaweza kuwa na mtazamo wa tofautiDahh mimi sio mlevi ....lakini mpaka hapo kwa huo muonekano wa hiyo chupa ya k.vant ...umedhihirisha Kwamba konyagi ni kampuni inayoongozwa na watu ambao ni wavivu wa kufikiri ....
Kinywaji cha miaka mingi lakini ubunifu wa mwaka ,80
Sent using Jamii Forums mobile app
U-conservative usio na maana unaimalza Konyagi....Hii packaging yao mpya na branding ya K Vant inatamanisha kunywa hata kama wewe sio mlevi.
Yaani chupa zo zina swagga flan hv classy na nadhani hiyo ni moja ya sababu, ukiangalia chupa za Konyagi ziko too local
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuonja Alcohol .... hahaa Hapana Aise ... sio hobby yangu ... ukiwa hai kuna vitu vingine unapaswa kuvitazama tu ... sio lazima ufanye kila kituMkuu jaribu kuonja hata kidogo labda unaweza kuwa na mtazamo wa tofauti
Sent using Jamii Forums mobile app