Habari wakuu,
Nimejikusanya muda sasa kuweza kumiliki gari la ndoto zangu. Tatizo ni budget yangu kwani nimefuatilia kuhusu my dream car naona mfuko haujajaa linapokuja suala la TRA.
Je, waweza nishauri gari gani linaloweza kuwa;
- Economy,
- Confortable,
- Attractive,
- Unique,
- Stand out on its own (Yaani sio la kulinganishwa linganishwa)
- Family car (preferable 7 seater)
- Modern and stylish
Sifa hizo juu nilikiwa naziona kwa my dream Car ambayo ni Toyota Land Cruiser Prado za kuanzia 2013...kama picha hapa chini...
Je waweza nishauri gari linaloweza compete na hiyo hapo Prado kwa sifa tajwa? Pia nisije liacha pale TRA?
Nimejikusanya muda sasa kuweza kumiliki gari la ndoto zangu. Tatizo ni budget yangu kwani nimefuatilia kuhusu my dream car naona mfuko haujajaa linapokuja suala la TRA.
Je, waweza nishauri gari gani linaloweza kuwa;
- Economy,
- Confortable,
- Attractive,
- Unique,
- Stand out on its own (Yaani sio la kulinganishwa linganishwa)
- Family car (preferable 7 seater)
- Modern and stylish
Sifa hizo juu nilikiwa naziona kwa my dream Car ambayo ni Toyota Land Cruiser Prado za kuanzia 2013...kama picha hapa chini...
Je waweza nishauri gari linaloweza compete na hiyo hapo Prado kwa sifa tajwa? Pia nisije liacha pale TRA?