Naona itakuwa ngumu kununua gari la ndoto yangu, Land Cruiser Prado! Je TZS 47 Million itatosha kununua gari la aina gani kama hilo?

Terace

Member
Jun 13, 2017
75
98
Habari wakuu,

Nimejikusanya muda sasa kuweza kumiliki gari la ndoto zangu. Tatizo ni budget yangu kwani nimefuatilia kuhusu my dream car naona mfuko haujajaa linapokuja suala la TRA.

Je, waweza nishauri gari gani linaloweza kuwa;
- Economy,
- Confortable,
- Attractive,
- Unique,
- Stand out on its own (Yaani sio la kulinganishwa linganishwa)
- Family car (preferable 7 seater)
- Modern and stylish

Sifa hizo juu nilikiwa naziona kwa my dream Car ambayo ni Toyota Land Cruiser Prado za kuanzia 2013...kama picha hapa chini...

Screenshot_20190212-000351.jpg





Je waweza nishauri gari linaloweza compete na hiyo hapo Prado kwa sifa tajwa? Pia nisije liacha pale TRA?
 
Huyo mnyama hapo juu TRA tu inakiwa Tsh.32.5mil,si mchezo though prado sijawahi kuzipenda.

Kwa 47 mil hapo unapata landcruiser vx v8(100 series),ila shida ukitaka magari ya miaka ya karibuni hapo ndipo shughuli ni pevu mkuu

Hata Landrover discovery 3 unapata mkuu.

Nb:Kibongo bongo hata gari za 2013 ni latest kabisaaa.
 
Huyo mnyama hapo juu TRA tu inakiwa Tsh.32.5mil,si mchezo though prado sijawahi kuzipenda.

Kwa 47 mil hapo unapata landcruiser vx v8(100 series),ila shida ukitaka magari ya miaka ya karibuni hapo ndipo shughuli ni pevu mkuu

Hata Landrover discovery 3 unapata mkuu.

Nb:Kibongo bongo hata gari za 2013 ni latest kabisaaa.
Upo sahihi, si kibongo tuu, ila gari za 2013 bd zimesimama
2013-ford-fusion.jpeg
2013-Nissan-Pathfinder.jpeg
MR-2013-Hyundai-Santa-Fe-FAMILYOVER30.jpeg
 
Mi nikushauri kitu mkuu
Nilichokuja kugundua ndoto zetu za kununua magari ya ndoto mara nyingi hufifishwa na ushuru.

Mimk nilivunja ukimya na kutimiza ndoto ya kumiliki ndinga langu kwa njia hii nyepesi sana

Cha kwanza usitishwe na calculator ya TRA, kuna alternative ya ku appeal kwa kumuandikia kamishna barua na kuomba azingatie Invoice price badala ya calculator. Hapa kama ulinunua kwa CIF lets say USD 10,000 utajikuta umelipa kodi ya karibu m19 au mil 22 tu of which naona imo ndani ya bajeti yako.

Japo majibu yanaweza kuchelewa ya appeal ila kama ni mzuri wa kuloby haikuchukui siku 4 utakua ushamaliza kazi hao unaokoa karibu mil 10 nzima

Kwa ushuhuda tu niliagiza gari yenye ushuru wa mil 33 lakini nilifanikiwa kulipa 19 tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi nikushauri kitu mkuu
Nilichokuja kugundua ndoto zetu za kununua magari ya ndoto mara nyingi hufifishwa na ushuru.

Mimk nilivunja ukimya na kutimiza ndoto ya kumiliki ndinga langu kwa njia hii nyepesi sana

Cha kwanza usitishwe na calculator ya TRA, kuna alternative ya ku appeal kwa kumuandikia kamishna barua na kuomba azingatie Invoice price badala ya calculator. Hapa kama ulinunua kwa CIF lets say USD 10,000 utajikuta umelipa kodi ya karibu m19 au mil 22 tu of which naona imo ndani ya bajeti yako.

Japo majibu yanaweza kuchelewa ya appeal ila kama ni mzuri wa kuloby haikuchukui siku 4 utakua ushamaliza kazi hao unaokoa karibu mil 10 nzima

Kwa ushuhuda tu niliagiza gari yenye ushuru wa mil 33 lakini nilifanikiwa kulipa 19 tu

Sent using Jamii Forums mobile app


Mkuu, latest Prado ambazo mashavu sio ya kubandika zipo juu sana gharama zake. Ukisema zile prado za 2007 kurudi nyuma zipo chini na hata ushuru nao upo chini.

Macho ya Paka hii ni hatari ushuru wake...unag9nga almost same cost kama CIF
 
uchaguzi unakuja jipange ingia kwenye siasa mkuu, utamiliki gari kama hizo tano kwa kila mwaka kununua moja. Umesikia juzi kati lissu kalamba ngapi... hiyo ndo njia sahihi
 
Mkuu hizi pic mbili za mwisho unaweza nambia model ya gari niigoogle?

Nilipenda prado kutokana na sifa tajwa nilizosema...je hizi gari zinazo hizo sifa pia?

Thanks in advance.
Boss ni km unavyoona hapoo
20190212_183045.jpeg
 
Wakuu, mwenzenu bado sijafanikiwa kupata gari nzuri ya kunikosha ambayo ni
- Economy (fuel consuption nzuri na spare parts si gharama),
- Confortable,
- Attractive,
- Unique,
- Stand out on its own (Yaani sio la kulinganishwa linganishwa)
- Family car (preferable 7 seater)
- Modern and stylish
- Iwe na Mwendo (Dar Kigoma isnipe mawazo)

Napenda gari iwe na clearence ya kutosha kwa chini na iwe imeenda hewani...sio nikisimama naiona hadi top roof yake......tayari nanayo baby walker hivyo natafuta kitu ya heshima zaidi kwa sasa....


Nimefikiria hizi hapa;
1. Porsche Cayenne
Sijui ulaji wake wa mafuta na spare sijui ka zipo sana Bongo...ila kwa ndani naona kitu imetulia....please mwenye ujuzi nayo nipatie info;

1094532

1094534

1094535




2. Toyota Harrier
Wenyewe mnaita tako la nyani...japo mie sio mjuvi wa hizi models nashindwa kuiona tofauti ya hizi harriers hivo naweza ingizwa king. But please to share your experience on this car

1094536

1094537



3. Subaru Impreza AWD
Subari kiujumla sizijui kabisaaa, hivyo mwenye experience nazo, ntashukuru sana ukimwaga some details.

1094546

1094549
1094550
 
Boss ni km unavyoona hapooView attachment 1020785


Mkuu Nimetafuta sana hizi option mbili ulizonishauri lakini sijazipata;
1. Hiyo Nissan PathFinder sijaiona kabisa kwenye tradeCarView ili kuiagiza
2. Na Hii hyundai Santa Fe zote nazozipata kwenye tradecarview ni LHD ampapo inakinzana na gari zinazoruhusiwa hapa Bongo...pia na mazoea.

Labda unauzoefu wa kutatua hizi changamoto pls?
 
Mkuu Nimetafuta sana hizi option mbili ulizonishauri lakini sijazipata;
1. Hiyo Nissan PathFinder sijaiona kabisa kwenye tradeCarView ili kuiagiza
2. Na Hii hyundai Santa Fe zote nazozipata kwenye tradecarview ni LHD ampapo inakinzana na gari zinazoruhusiwa hapa Bongo...pia na mazoea.
Labda unauzoefu wa kutatua hizi changamoto pls?
sasa mzee kuna chuma inaitwa HAVAL H9 Hembu icheki now utaniambiaaa, hizi bongo zipoo japo ni chache ila ni mashineee, wakat nakutajia hizo hii ndio nilikua namaanisha nikajichanganya nilijua ndio hii kumbe zinafanana muonekanoo, ichek now uniambie
 
Wakuu, mwenzenu bado sijafanikiwa kupata gari nzuri ya kunikosha ambayo ni
- Economy (fuel consuption nzuri na spare parts si gharama),
- Confortable,
- Attractive,
- Unique,
- Stand out on its own (Yaani sio la kulinganishwa linganishwa)
- Family car (preferable 7 seater)
- Modern and stylish
- Iwe na Mwendo (Dar Kigoma isnipe mawazo)

Napenda gari iwe na clearence ya kutosha kwa chini na iwe imeenda hewani...sio nikisimama naiona hadi top roof yake......tayari nanayo baby walker hivyo natafuta kitu ya heshima zaidi kwa sasa....


Nimefikiria hizi hapa;
1. Porsche Cayenne
Sijui ulaji wake wa mafuta na spare sijui ka zipo sana Bongo...ila kwa ndani naona kitu imetulia....please mwenye ujuzi nayo nipatie info;

View attachment 1094532
View attachment 1094534
View attachment 1094535



2. Toyota Harrier
Wenyewe mnaita tako la nyani...japo mie sio mjuvi wa hizi models nashindwa kuiona tofauti ya hizi harriers hivo naweza ingizwa king. But please to share your experience on this car

View attachment 1094536
View attachment 1094537


3. Subaru Impreza AWD
Subari kiujumla sizijui kabisaaa, hivyo mwenye experience nazo, ntashukuru sana ukimwaga some details.

View attachment 1094546
View attachment 1094549View attachment 1094550
Kama una hela ya mawazo Porsche Cayyene itakupasua utumbo.

Labda ununue kama moyo umeipenda.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom