Naona itakuwa ngumu kununua gari la ndoto yangu, Land Cruiser Prado! Je TZS 47 Million itatosha kununua gari la aina gani kama hilo?

Wakuu, mwenzenu bado sijafanikiwa kupata gari nzuri ya kunikosha ambayo ni
- Economy (fuel consuption nzuri na spare parts si gharama),
- Confortable,
- Attractive,
- Unique,
- Stand out on its own (Yaani sio la kulinganishwa linganishwa)
- Family car (preferable 7 seater)
- Modern and stylish
- Iwe na Mwendo (Dar Kigoma isnipe mawazo)

Napenda gari iwe na clearence ya kutosha kwa chini na iwe imeenda hewani...sio nikisimama naiona hadi top roof yake......tayari nanayo baby walker hivyo natafuta kitu ya heshima zaidi kwa sasa....


Nimefikiria hizi hapa;
1. Porsche Cayenne
Sijui ulaji wake wa mafuta na spare sijui ka zipo sana Bongo...ila kwa ndani naona kitu imetulia....please mwenye ujuzi nayo nipatie info;

View attachment 1094532
View attachment 1094534
View attachment 1094535



2. Toyota Harrier
Wenyewe mnaita tako la nyani...japo mie sio mjuvi wa hizi models nashindwa kuiona tofauti ya hizi harriers hivo naweza ingizwa king. But please to share your experience on this car

View attachment 1094536
View attachment 1094537


3. Subaru Impreza AWD
Subari kiujumla sizijui kabisaaa, hivyo mwenye experience nazo, ntashukuru sana ukimwaga some details.

View attachment 1094546
View attachment 1094549View attachment 1094550

Ongeza hapo na toyota HIGHLANDER, gari tamu sana hutojutia pesa yako mkuu
 
sasa mzee kuna chuma inaitwa HAVAL H9 Hembu icheki now utaniambiaaa, hizi bongo zipoo japo ni chache ila ni mashineee, wakat nakutajia hizo hii ndio nilikua namaanisha nikajichanganya nilijua ndio hii kumbe zinafanana muonekanoo, ichek now uniambie


Mkuu asante sana. Nimevutiwa nayo baada ya kuigoogle...japo sijui upatikanaji wa spare parts zake.
Kama nikuiagiza, sijaipata kwa TradeCarView wala B4ward....una idea yeyote namna ya upatikanaji wake??

1095351


Thanks
 
Kama una hela ya mawazo Porsche Cayyene itakupasua utumbo.

Labda ununue kama moyo umeipenda.


Asante mkuu kwa ushauri wako. I real value it.
Na vipi kuhusu hiyo Hyundai Santa Fe?
Na kama pia kuna chaguo zuri waweza nipatia lisizidi 45M....hata likizidi nambie ngapi hasa?
 
huwez pata j150 kwa hiyo hela hata kama imetumika bongo labda ujaribu j120 za miaka ya mwanzon hata ya karibuni unaeza pata kwa mtu no C bei haifiki 50m
 
Back
Top Bottom