Chimunguru
JF-Expert Member
- May 3, 2009
- 10,678
- 4,350
- Thread starter
- #21
dah jamaa alikuwa best yangu kinoma. pia walipatana sana na bro wangu. hapo BIG Y nilikuwa nakula kulia napita shuleni kwa juu kidogo ndo kwa kina Naomi. hiyo njia ya kulia kwa big y napandisha kidogo nakula kulia tena pale kanisani baada tu ya fence za kanisa kuna nyumba ya jamaa mmoja nakumbuka jina ni km ALFAYO sjui alikuwa anafanya kazi mount meru enzi zile ndo ilikuwa geto hapo hahaaa. nikija a town lazima nikutafute mkuuKijanaa tuko naye sana Span view. Alianzisha mradi wa kufyetua matofali, jamaa wa halmashauri wakamfisadi pamoja na jamaa kua ni mlemavu flani.