jaman kwani kashafafanua ni urafiki gani?We miaka miwili yote
ulitegemea akusubiri wakati hamna mawasiliano huyo yuko na mtu
mwingine,na unataka kurudiana naye kakuambia yuko single? je wewe kwa
miaka hiyo uko single au unataka mechi ya marudiano?
mwenzio ka move on
sasa wew unasumbuliwa either na udomozege wakutafuta mwingine au hujiamini name maisha yako mpaka inapelekea kukwama name past life yako
..hata wauza unga..walianza name bange ...waka evolve..its nature
don't stuck in one life
alikua rafiki wa kawaida co mahusiano ya mapenzi! ni urafiki wa jinsia1
bora umenisaidia mpendwa!
lolest! nafurahi kuckia
Tatizo mnaweka vitu nusu nusu ndo maana kila mtu anakuwa na perception yakebora umenisaidia mpendwa!
Utoaji wa taarifa ndo unamatatizo kwanza hajasema yeye jinsia gani na huyo rafiki yake ni wa jinsia gani so mnawapa watu kazi ya kuwaza kila mtu anavyofikiria na ukichukulia kesi za hapa ni za mtindo huo huosema duh!kuna wa2 wanawaza mapenzi,mapenzi loh!hata m2 hujasoma vizuri unaanza 2 miaka yote akusubiri eeh!