Sina nia hiyo mkuu,ni kweli nimetendwa vibaya,mpaka nahisi kama nina mkosi.Siku hizi mna mbinu nyingi kuingiza bidhaa sokoni dah! eti nimetendwa:becky:
aha! ha! haaaaaaa!!!!!!! mkuu umenikumbusha mbali saana.kuna jank alikuwa anajifanya mgumu saana chuoni,ikaja kubainika kuwa kumbe nyakati za usiku ananyata uwanja wa mafisi kuokota mizoga. aha haaa!Wala huwezi pata madhara yoyote,kwani maisha yote kabla hujakutana na hao watoto wa mama Salma si ulifanikiwa kuishi bila yao?Kwani ulipata madhara yoyote kwa kuwakosa?Basi kwa nini leo hii ushindwe?Cha msingi ni kuset mind yako kuwa hutaki na usitake kweli sio tena uanze kushinda kwenye uwanja wa fisi kutafuta vipozeo.La msingi kama unaweza kujizuia na umeamua kweli kuwa pekee yako unaweza na wala hutopata madhara yoyote.i hope nimeeleweka.
Hayo yapo mengi sana tu mkuu.Mtu anajifanya haingiliki kumbe ana mbinu zake mbadala za kajificheni.aha! ha! haaaaaaa!!!!!!! mkuu umenikumbusha mbali saana.kuna jank alikuwa anajifanya mgumu saana chuoni,ikaja kubainika kuwa kumbe nyakati za usiku ananyata uwanja wa mafisi kuokota mizoga. aha haaa!
Baada ya kutendwa zaidi ya mara 3,na hawa mabinti wa Mama Salma,
Sasa nimeamua kuwa peke yangu mpaka kifo kinichukue.JE KUNA MADHARA NTAYAPATA?
Baada ya kutendwa zaidi ya mara 3,na hawa mabinti wa Mama Salma,
Sasa nimeamua kuwa peke yangu mpaka kifo kinichukue.JE KUNA MADHARA NTAYAPATA?
Baada ya kutendwa zaidi ya mara 3,na hawa mabinti wa Mama Salma,
Sasa nimeamua kuwa peke yangu mpaka kifo kinichukue.JE KUNA MADHARA NTAYAPATA?
Ndio mkuu!vipi mkuu umeshapima?
Baada ya kutendwa zaidi ya mara 3,na hawa mabinti wa Mama Salma,
Sasa nimeamua kuwa peke yangu mpaka kifo kinichukue.JE KUNA MADHARA NTAYAPATA?
Sasa nina miezi miwili,nafikiri ntafikisha hiyo miaka miwili na kuendelea!ukiweza kugangamara kama unavyodai kwa miaka miwili, nitafute nikupe zawadi...