Naombeni ushauri

Naombeni ushauri

Yani rahisi mnoo, kwa wanaume kujamba mbele ya mwanamke aliemzoea klk kumuomba pesa.
sasa si ushukuru kachukua elfu 5 tu..what if angekomba zote?
nahisi jamaa kakosa hata nauli,na baadhi yetu sisi wanaume tunaona noma kuomba wanawake pesa.
 
Vipi na mwanamke anaekuta ela kwa suruali ya mume wake wkt wa kufua nguo, na akapiga kimya na hata akiulizwa mkuu? Tumuitaje?
Wanaume wenzake watatetea huu upuuzi lakn mumeo ni mwizi kama sio mdokozi, badilisha namba ya siri na Kuwa makini na utunzaji pesa za cash, Kama ni Mume mwema asingefuta meseji, Kama angeomba kusingekuwa na tatzo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom