Naombeni ushauri wenu wakuu.

Naombeni ushauri wenu wakuu.

Haya ni majaribu kwa wenye kutoa ushauri.Sasa hapo unataka ushauriwe nini?
 
Na kondomu hainogi

Akubali tu matokeo after all mtoto ni baraka toka kwa Mungu
Sasa si angemwaga nje basii?? Yaani unajua kabisa kuwa tendo linaweza kusababisha mimba au ukimwi lakini unaenda tu mzima mzima, na ukitambua kabisa kuwa hapa napita tu. Akubali matokeo! Mke ndo huyo!
 
Kiufupi hata ujilazimishe kumpenda hali itakua ndo hiyo Hiyo. Kikubwa jitahidi kuwa baba bora kwa kiumbe kinachotarajia kuja ulimwenguni, mambo mengine huamuliwa na MUDA.
Umemshauri vyema. Ila kushindwa kumpenda mtu ni ishara ya ubinafsi
 
Nilishajaribu kumwambia lakini baada ya hapo alitaka kutoa mimba

ikabidi nimzuie kwa kumhakikishia kuwa me ndio mume wake ila nilifanya ivo ili asiitoe mimba.

Niliogopa kuwa sababu ya yeye kutoa mimba.
Elewa huyo alibeba hiyo mimba makusudi ili umuoe kwa hiyo jipange au kama vip mwambie ukweli atoe asitoe we kausha tu unamwambia kwetu huwa hawatoi mimba ukitoa unakufa........huwez sema eti ukikaa nae utampenda hilo sahau kama sahizi humpendi mkizoeana ndo utampenda haaah!!
 
Ungetumia condom sasahivi usingekuwa na haya majuto.
Nakushauri ukubali matokeo tuu.
Binafsi huwa nakuwa muwazi since day one,huwa nasema ww ni rafiki tu,na huwa simuiti mtu mpenzi nakupenda maana najua nini maana ya mpenzi na nn maana ya nakupenda,kifupi kwenye mahusiano sipendi kuwa tapeli,maana matokeo ya utapeli ktk mapenzi huzaa migogoro na machungu ya milele
 
Binafsi huwa nakuwa muwazi since day one,huwa nasema ww ni rafiki tu,na huwa simuiti mtu mpenzi nakupenda maana najua nini maana ya mpenzi na nn maana ya nakupenda,kifupi kwenye mahusiano sipendi kuwa tapeli,maana matokeo ya utapeli ktk mapenzi huzaa migogoro na machungu ya milele
Umesema kweli kabisa watu wengi huwa hawalitambui hilo,
Kuna vitu waweza kuona ni vidogo lakini vina matokeo makubwa sana katika maisha yako ya baadae.
 
Jozee mzima kabisa japo sina mawasiliano nae toka mpenzi baby wangu aliporudi, usifukue ya nyuma utanisababishia talaka ujue,

I really missing you friend, umenipa tabu sana kukutafuta ujue
Mie jozee ndio namtambua, hao wengine michepuko tu.

Mbona nipo mamy!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom