Neybright
JF-Expert Member
- Feb 1, 2017
- 5,692
- 14,484
Alright Dear, am glad to see you again.Here i am sweetie.
Alright Dear, am glad to see you again.Here i am sweetie.
akikujib, nitag.Mkuu hiyo furaha umeikosa baada ya kumpa ujauzito au hulikuwa huna hata kabla ya kumtongoza?
Pia wakati mnabanduana kitandani pia ulikosa furaha?
Shikamoo.endelea kumtamani tu
Mkuu hili darasa ni la wanawakeHili darasa linawahusu wanaume..anayelalamika ni mwanaume.
Halafu si wanasemaga mke mwema huletwa na Muumba labda zali lake hilo hajuituUngetumia condom sasahivi usingekuwa na haya majuto.
Nakushauri ukubali matokeo tuu.
Aisee safi sana kwa mwaswali yako kiongoziMkuu hiyo furaha umeikosa baada ya kumpa ujauzito au hulikuwa huna hata kabla ya kumtongoza?
Pia wakati mnabanduana kitandani pia ulikosa furaha?
Mpaka kielewekeendelea kumtamani tu
Wewe ndo mume wake maneno huumba chukua jiko hilo mkuu utaishi kwa amani sanaNilishajaribu kumwambia lakini baada ya hapo alitaka kutoa mimba
ikabidi nimzuie kwa kumhakikishia kuwa me ndio mume wake ila nilifanya ivo ili asiitoe mimba.
Niliogopa kuwa sababu ya yeye kutoa mimba.
Kweli kabisa hizi habali za kununiwa ndani kisa umependa wewe tupa kureeeeOa anayekupenda mengine mbele ya safari.
Alee mtoto ana manyonyo amuache hafu binti akaolewe na nani?Ww lea mtoto tu dem achana nae
Tena anyamaze kabla sijaita ile teamJozee mzima kabisa japo sina mawasiliano nae toka mpenzi baby wangu aliporudi, usifukue ya nyuma utanisababishia talaka ujue,
I really missing you friend, umenipa tabu sana kukutafuta ujue
We kajamaa mbona unachekesha sanaaa!!!Mkuu hiyo furaha umeikosa baada ya kumpa ujauzito au hulikuwa huna hata kabla ya kumtongoza?
Pia wakati mnabanduana kitandani pia ulikosa furaha?
Teh teh tehTena anyamaze kabla sijaita ile team