TX8
Member
- Mar 17, 2018
- 28
- 15
Mwezi wa kwanza mwaka huu nilikuwa Arusha kikazi na kwa wakati huo nilikuwa napitia misuko suko ya kimahusiano ikapelekea kuachana na aliyekuwa mwenza wangu.
Baada ya kuachana na mwenza wangu sikuwa sawa kabisa kwakuwa nilikuwa bado nampenda sana, katika kipindi kifupi cha majukumu yangu kule Arusha nilikutana na binti ambaye niliamua niwe nae lakini kwakweli sikumpenda zaidi ya kumtamani tu.
Binti yule alibeba ujauzito na sasa una miezi miwili,
Kinachonifanya niombe ushauri kwenu ni kuwa binti yule imani yake ni kuwa mimi ndiye mume wake hasa baada ya kunasa ujauzito wangu.
lakini kwakweli hayupo moyoni mwangu kabisa yani sina furaha hata tukiwa wote nafanya kujilazimisha tu kuongea nae.
Naomba ushauri kwenu wakuu je, Niendelee kujiaminisha kuwa siku moja nitakuja kumpenda? ama niamue kuishi na mwanamke nitakayempenda?
Niliamua kuwa nae kwakuwa nilijua baada ya muda mfupi nitaondoka na kumuacha na maisha yake ya awali
kwa lugha nyepesi, alikuwa kipozeo tu.
Natanguliza neno la msamaha kwa yeyote nitakaye mkwaza.
Baada ya kuachana na mwenza wangu sikuwa sawa kabisa kwakuwa nilikuwa bado nampenda sana, katika kipindi kifupi cha majukumu yangu kule Arusha nilikutana na binti ambaye niliamua niwe nae lakini kwakweli sikumpenda zaidi ya kumtamani tu.
Binti yule alibeba ujauzito na sasa una miezi miwili,
Kinachonifanya niombe ushauri kwenu ni kuwa binti yule imani yake ni kuwa mimi ndiye mume wake hasa baada ya kunasa ujauzito wangu.
lakini kwakweli hayupo moyoni mwangu kabisa yani sina furaha hata tukiwa wote nafanya kujilazimisha tu kuongea nae.
Naomba ushauri kwenu wakuu je, Niendelee kujiaminisha kuwa siku moja nitakuja kumpenda? ama niamue kuishi na mwanamke nitakayempenda?
Niliamua kuwa nae kwakuwa nilijua baada ya muda mfupi nitaondoka na kumuacha na maisha yake ya awali
kwa lugha nyepesi, alikuwa kipozeo tu.
Natanguliza neno la msamaha kwa yeyote nitakaye mkwaza.