Daudi1
JF-Expert Member
- Dec 14, 2013
- 8,785
- 8,678
Hata mimi nina wasiwasi huo,maana siajona logic ya huyo mwanamke kubadilika wakati wameishi maisha ya shida kwa kutegemea boom kulea mtoto!Mh! Ninawaswasi huenda hata huyo mtoto si wako.
Hata mimi nina wasiwasi huo,maana siajona logic ya huyo mwanamke kubadilika wakati wameishi maisha ya shida kwa kutegemea boom kulea mtoto!Mh! Ninawaswasi huenda hata huyo mtoto si wako.
Mimi ni kijana nina wa miaka 26,miaka minne iliyopita nikiwa mwaka wa kwanza chuo kikuu cha dar udsm nilifanikiwa kumpata binti mmoja wa kichaga tulipendana sana ikafikia hadi kupata mtoto wa kike tukiwa mwaka wa pili.tuliishi geto kwa kutegemea boom hadi tuka maliza chuo mwaka jana.Tatizo nililo nalo ni kwamba tangia tupate kazi mwenzangu hanitaki tena mbaya zaidi hataki hata mtoto aje kwangu kunisalimia.pia mm muda wa kuoa umefika.so members wha can ido?j
Ninaamini huyo mtoto sio wako miaka 26 ulikuwa bado mtoto . Look here !! Binti mwenyewe Mchaga. Anafanya kazi TRA halafu bado wewe ni mwalimu yaani kada inayo puuzaw na serikali anza ukurasa mpya tafuta mwalimu mwenzio ukimng'ang'ania utakufa siku sio zako.
Kabisa. Mwalim mwenzio atakufaa, maana waalim wanakuaga na busara. wa tra matapeli wa serikali na raia.
Na mchaga hamna mapenzi ya kweli, alikua anakuitaji na sasa hakuitaji tena, tra kuna chance ya kuwa tajiri kwa siku 30 tu kwa kutapeli. Elim yako ni mzuri na ukioa mwalim mwenzio so maisha yatakua poa na ya uhakika kuliko ya huyo tra.
Hata ukioa kijijini sio mbaya, kama anazo akili tu basi, siku hizi elim tu si kitu ila afya njema na akili ya kuzaliwa nayo pia inaitajika ili ufanye mazuri maishani. Kuna wanawake wameishia seco na wamefanya mazuri maishani kuliko wa chuo kikuu.
yeye yupo tra.mimi ni mwalimu
My God, she is gone.
Mimi ni kijana nina wa miaka 26,miaka minne iliyopita nikiwa mwaka wa kwanza chuo kikuu cha dar udsm nilifanikiwa kumpata binti mmoja wa kichaga tulipendana sana ikafikia hadi kupata mtoto wa kike tukiwa mwaka wa pili.tuliishi geto kwa kutegemea boom hadi tuka maliza chuo mwaka jana.Tatizo nililo nalo ni kwamba tangia tupate kazi mwenzangu hanitaki tena mbaya zaidi hataki hata mtoto aje kwangu kunisalimia.pia mm muda wa kuoa umefika.so members wha can ido?j
hapo fungasha virago vyako 2,mwalimu na mtu wa tra wapi na wapi jamani?
Hili nalo neno maana siku zote msema peke yake muongo! Atuambie tu alichangia vipi katika mabadiliko ya ghafla kwa mama mtoto^^
Sijui tutumie mfumo gani ili tuwe tunasikia na upande wa pili.. Maana tunashauri kwa kutazama upande mmoja,mi naamini huyo dada akileta maelezo yake,,mambo yatachukua sura nyingine
^^
kila siku nasema wanawake ni nyoka