Jitahidi umalizie hiyo miaka mitatu ilobaki ili kama baadae ukiingia kwenye siasa uwe na elimu yako ya udaktari.
Kama una ndoto ya kuingia kwenye siasa unaweza ukaanza huko huko chuoni, gombea uraisi wa chuo nk ili ujijenge zaidi kwenye uongozi na siasa.
Jitahidi kupangilia muda wako vizuri hasa wa masomo na siasa au uongozi.
Ingia kwenye mfumo taratibu usiwe na papara, jifunze na omba sana uwe na hekima.
Kila la kheri Asante sana mkuu kwa ushauri mwanana ubarikiwe