Naombeni ushauri wa kitaalam

Naombeni ushauri wa kitaalam

mbwinde

Member
Joined
Dec 6, 2013
Posts
11
Reaction score
0
Nina simu ya samsung galax s4.. hii simu tangu naanza kutumia huwa inapata moto sana hasa wakati na browse kwenye net ns wakati naongea sijui kams nikawaida au ni tatizo la kiufundi naombeni udhauri...
 
unatumia apps nyingi sana kwa mpigo ndio maana.

bonyeza button ya home kwa nguvu kisha click task manager (alama ya kiduara cheupe) utapelekwa sehemu uya kuimanage simu. funga app usizotumia, clear ram na kufanya optimization nyengine.

hakikisha pia hutumii vpn na app nyengine ambazo permanent zipo on.
 
Back
Top Bottom