uliposifiki 99
Member
- Nov 14, 2011
- 36
- 1
Jamani wana jf naombeni ushauri kuna rafiki yangu alikuwa ana mchumba wake yaan gf ila huyo gf wake alikuwa ni binamu yake na wote walikuwa wanalitambua hlo ila sasa mshkaji akaona bora amuache maana umri unakwenda na anajua hataweza kumuoa maana ni binamu yake ila sasa huyo binti eti hataki anataka waendelee na mahusiano na umri wa bint ni 22yrs !sasa mshkaj anaomba ushauri amfanyaje maana hata bint mwenyewe hata kufanya kitu chochote hatak mpaka jamaa amrudie