Naombeni Ushauri nimsaidiaje huyu DADA yangu.....????

Uliyosema ni kweli nami najua umuhimu wa dada. Pole sana. Sababu hajakushirikisha ni vyema wewe ukaongea na Baba na ukamwambia chakumshauri dada yako,

Ruttashobolwa Mkuu hayo matatizo kamueleza Baba yake mimi hajawahi kuniambia wala hajawahi kunipigia simu kunieleza chochote,ila kinachoniuma ni yule jamaa kumpotezea muda wake sasa sahivi akirudi ni kuangalia mtoto na kuondoka hakuna ndoa tena,sasa mkubwa mi nitaingiliaje haya maswala na yeye hajawahi kuniambia kuhusu ndoa yake na wala sijawahi kugombana nae hata kwa utani tu,sasa alikuwa na maana gani kutoniambia mambo yake.
Kinachoniuma zaidi yule muhuni kwanza anatumia elimu ya dada yangu vibaya kwa kumfanyisha kazi za ndani na pia alienda kumbeba kienyeji na hakuwahi kumwambia kuhusu hizo ndoa nyingine na nasikia anataka kuoa mke mwingine na hao wengine washaanza kumpigia simu za vitisho
Mkuu Ruttashobolwa huyu ndo Dada pekee mi nilie nae Roho inauma mkuu
 
Last edited by a moderator:
Hayo matatizo alizungumza na Baba yake kama kumwambia tu kinachoendelea

mambo ya ndoa ni ya watu wawili. Ukiingilia utakuwa mnafiki, unampenda dada yako utamuoa wewe? Kama unamheshimu mbona ye kashindwa kukuheshimu?
 
mambo ya ndoa ni ya watu wawili. Ukiingilia utakuwa mnafiki, unampenda dada yako utamuoa wewe? Kama unamheshimu mbona ye kashindwa kukuheshimu?

Asante kwa ushauri wako ndugu yangu
 
Hayajamkamata kisawasawa,

Akibanwa atakuambia mwenyewe bd hajaona umuhimu wako we endelea na mambo yako.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom