SnowBall
JF-Expert Member
- Sep 13, 2011
- 3,054
- 2,840
Last edited by a moderator:
Ruttashobolwa Mkuu hayo matatizo kamueleza Baba yake mimi hajawahi kuniambia wala hajawahi kunipigia simu kunieleza chochote,ila kinachoniuma ni yule jamaa kumpotezea muda wake sasa sahivi akirudi ni kuangalia mtoto na kuondoka hakuna ndoa tena,sasa mkubwa mi nitaingiliaje haya maswala na yeye hajawahi kuniambia kuhusu ndoa yake na wala sijawahi kugombana nae hata kwa utani tu,sasa alikuwa na maana gani kutoniambia mambo yake.
Kinachoniuma zaidi yule muhuni kwanza anatumia elimu ya dada yangu vibaya kwa kumfanyisha kazi za ndani na pia alienda kumbeba kienyeji na hakuwahi kumwambia kuhusu hizo ndoa nyingine na nasikia anataka kuoa mke mwingine na hao wengine washaanza kumpigia simu za vitisho
Mkuu Ruttashobolwa huyu ndo Dada pekee mi nilie nae Roho inauma mkuu
Hayo matatizo alizungumza na Baba yake kama kumwambia tu kinachoendelea