makanza og
Member
- Sep 30, 2018
- 9
- 1
Jaman wakuu mm Nina 3 yangu ya 25 japo so nzur lakn naona nilijitahidi nimeaplly certificate ya ualimu mpaka Mara mbili nakosa first & second sasa hvi second zimetoka simo tena nishaurini nifanyeje
Sina Raman na chuo chochote cha private labda kama kipo nipate mawasilianoJaribu na vyuo vya private
Najulia WAP kulima ndg yanguJaribu na vyuo vya private
Upo mkoa gani?Sina Raman na chuo chochote cha private labda kama kipo nipate mawasiliano
MwanzaUpo mkoa gani?
Sio mwenyeji wa Mwanza nafahamu vya DarMwanza
Kwani wewe lengo lako ni kusoma ualimu pekee yake?Jaman wakuu mm Nina 3 yangu ya 25 japo so nzur lakn naona nilijitahidi nimeaplly certificate ya ualimu mpaka Mara mbili nakosa first & second sasa hvi second zimetoka simo tena nishaurini nifanyeje
Kama uko Mwanza panda gari nenda mpaka Nyegezi Chuo cha uvuvi kaongee nao uende na vielelezo vyako uwaambie nia yako ya kutaka kusoma hiyo fani ada yao ni ya kawaida sana na chuo ni cha SerikaliMwanza
Boss dagaa wa mafuta ndio wakoje naomba ufafanuzi kidogo hapo?3 tena ya 25 nayo usiiangalie sana. Piga akili kidogo utafute 50k hivi uanzishe biashara ya kuuza dagaa wa mafuta. Waweza ona kuwa ni biashara ya kipuuzi ila utakapoiingia na kuwa siriasi nayo utaja niambia aksante. Mark ma words boy. Wewe endelea kupoteza muda na resources zako ukitafuta ualim. Pathetic man.
Ualimu hawaendi walio feli bali walioitwa. Kama ulitaka kuona chuo ulitakiwa ujiandae vizuri tangu form 5 sio baada ya kufeli.
Boss dagaa wa mafuta ndio wakoje naomba ufafanuzi kidogo hapo?
Nenda ziwani wanakowaandalia dagaa utawaonaBoss dagaa wa mafuta ndio wakoje naomba ufafanuzi kidogo hapo?
Msukuma?? Halafu hujui kulima au kufuga? Wewe ni hopeless kabisa..wasukuma hatupogo hivyoMwanza
Mwanza sehem gnMwanza