Naombeni ushauri ndugu zangu

Naombeni ushauri ndugu zangu

Kuna mwanamke nilimpa mimba alikuwa anafanya shughuli zake na anakaa kwake japo amepangisha.Mimba ilipofikisha miezi 6 akaniomba aje tuishi wote nikakubali,tuliishi wote mpaka alipojifungua.
Na kwakua mama yangu yupo arusha na mimi nipo moshi kikazi Nilimpa taarifa mama na mama alikuja kumchukua ili akamlee kwenye uzazi.
Nikiwasiliana na mke wangu ananiambia wanaishi kwa furaha sana na mama,tunachat kila muda halipiti lisaa hatujawasiliana.
Nachoshangaa ghafla huyo mwanamke anataka kutoroka nyumbani eti aje tuishi wote.Na anachokisema eti amenimis sana na hazijapita hata wiki tatu tokea aende kwa mama.

Naombeni ushauri nifanyeje juu ya hili...
uamuzi ni wako broh, mi sizani kama kuna ushauri hapo
 
Wiki 3 ???
Mwanamke akijifungua kawaida kukaa kwa mama ni wiki 1 tu, ikizidi sana wiki 2. .
Kafuate familia yako, muanze kuzibua na masikio
 
Back
Top Bottom