David Daudi
Member
- May 8, 2019
- 23
- 9
Nimemaliza O-level 2013 na matokeo yakawa mazuri hadi kupelekea kuchaguliwa PCM Yalikuwa ni Math B+, BIO B, CHEM B, PHY D, HIST B, GEO B, CIV C, ENG C, LIT D, KISW B Ila advance nmetoka na SSE.
Mpaka naandika, nmekaa mtaani miaka 3. Nimejitahidi kahela kidogo natamani nisome hata ualimu, lakini je naweza pata ualimu wa secondari? au nifanyeje kwa kipato changu cha kuweza kujilipia laki 7 kwa mwaka?
Tafadhali jamani nisaidieni mawazo yenu.
Mpaka naandika, nmekaa mtaani miaka 3. Nimejitahidi kahela kidogo natamani nisome hata ualimu, lakini je naweza pata ualimu wa secondari? au nifanyeje kwa kipato changu cha kuweza kujilipia laki 7 kwa mwaka?
Tafadhali jamani nisaidieni mawazo yenu.