Hekima bora
Member
- Jun 20, 2014
- 7
- 2
Nina rafiki ameolewa na ana mtoto mmoja. Tatizo ni anamfumania mme kila mara, ijumaa mme kaenda kazini karudi jumamosi .
Mke anataka kuondoka.
Nimshaurije?
Mke anataka kuondoka.
Nimshaurije?
nna rfk ameolew ana mtoto1, anamfumania mme kila mara.ijumaa mme kaenda kzn karud jmos mke anatak kuondoka,nimshaurije?
yangu ukwel haina majanga kivile.umeoa?umeolewa?kama ndiyo ndoa yako ikoje?
Atafute mjamaa ammege mume akiondoka na yeye atoke.
Ya nini stress maisha yenyewe mafupi haya.
Dawa ya mwanaumw mwanaume mwenzake.
mme anasahau kufuta conversation kwny cm. so anapofuatilia anawabamba.
Kula kwanza kikushuke.
ni wewe ndo umemfumania mumeo mkuu pole sana maana dushelele ni tamu sana inauma ukiona kuna mwenzio anashare dushele we mm ntaua mtu haaNina rafiki ameolewa na ana mtoto mmoja. Tatizo ni anamfumania mme kila mara, ijumaa mme kaenda kazini karudi jumamosi .
Mke anataka kuondoka.
Nimshaurije?