Nina rafiki ameolewa na ana mtoto mmoja. Tatizo ni anamfumania mme kila mara, ijumaa mme kaenda kazini karudi jumamosi .
Mke anataka kuondoka.
Nimshaurije?
Bwamdogo sijui bibi kizee your user name.Wewe kila kitu kina muda wake sasa achane nae wapo wengi atakufa na naukimwi