Chukua ushauri wa manager wa makapuni.Jamani mimi ni mwanafunzi niliye hitimu kidato cha nne mwaka jana bahati nzuri nikafaulu kwa grade 2.18 na Nimechaguliwa kidato cha Tano.
Lakin wakuu nilikuw napenda sana nisome PCB lakin physics niliteleza nkapata "D" lakin Chemiry "C" na Biology "B" hivyo basi sikuchaguliwa hio PCB badala yake nimechaguliwa CBG; sasa najiuliza mtu akisoma CBG akafaul Vizur jeh!
Kuna kazi gan naweza kupata au ataenda kusomea nin chuon wakuu naombeni ushaur wengine wanasema CBG haina ajira hvyo nakata Tamaaa kabisa wakuu. Wengine wanasema bora niende chuo nkaone, isiwe tabu ngoja nisikie wana JF
Plz anayejua au aliyesoma hii comb anipe ushaur[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Hongera kwa kozi uliyochaguliwa, kifupi kama una mawazo ya kusoma kozi za ajira na ndo unaenda kidato cha tano basi mwisho wako utakuwa mbaya sana, ni vyema uhailishe kusoma kwanza ujitafakari,Jamani mimi ni mwanafunzi niliye hitimu kidato cha nne mwaka jana bahati nzuri nikafaulu kwa grade 2.18 na Nimechaguliwa kidato cha Tano.
Lakin wakuu nilikuw napenda sana nisome PCB lakin physics niliteleza nkapata "D" lakin Chemiry "C" na Biology "B" hivyo basi sikuchaguliwa hio PCB badala yake nimechaguliwa CBG; sasa najiuliza mtu akisoma CBG akafaul Vizur jeh!
Kuna kazi gan naweza kupata au ataenda kusomea nin chuon wakuu naombeni ushaur wengine wanasema CBG haina ajira hvyo nakata Tamaaa kabisa wakuu. Wengine wanasema bora niende chuo nkaone, isiwe tabu ngoja nisikie wana JF
Plz anayejua au aliyesoma hii comb anipe ushaur[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Absolutely, Advance ni kama kubet vile.Kwa ushauri wangu na uzoefu wangu maana nimepitia huko.
Nakushauri angalia wewe unataka kusoma nini/unataka kuwa nani/unataka kufanya kazi gani then tafuta chuo cha kitu unachohitaji kasome Diploma.
Ukimaliza Diploma utaamua sasa wawe mwenyewe kama uendelee na Bachelor au uingie mtaani kuanza kupambana.
The advantage ya kwenda kusoma Diploma ni kwamba ukimaliza unaweza kuajirika/kujiajiri/kutafuta kazi compared na ukienda advance ukimaliza huwezi kufanya chochote.
Shukran mkuuuUnaweza fanya reference apo dogo
Hii ni 2020 ya ndalichako sio JK ambapo HKL, EGM walikuwa wanasoma MDView attachment 1515245
Hongera kwa kozi uliyochaguliwa, kifupi kama una mawazo ya kusoma kozi za ajira na ndo unaenda kidato cha tano basi mwisho wako utakuwa mbaya sana, ni vyema uhailishe kusoma kwanza ujitafakari,
Binafsi nimesoma CBG Karatu Boys pale baada ya matokeo kutoka nilishauriwa sana kusoma diploma ya afya maana tofauti na hapo yabidi niombe ualimu wa kemia na biology, niliamua mwenyewe kuomba kozi ya IT, nikafanikiwa kujiunga mzumbe university na mkopo wa bodi 100%, juhudi zangu zimeniwezesha niko mwaka wa tatu na hivi sasa napata deal za kutengeneza mifumo( tupo kundi), nasoma na bado napata connection, nakumbuka mzee baada ya kusikia nimechagua kusoma IT wakati ukoo wetu wote wakisoma basi ni kozi za afya, uhandisi na ualimu, alinigomea mwanzo kunipa sapoti, but mkopo niloupata umenisaidia kwa kiasi fulani mpaka akaja kuelewa,
Soma mkuu, fanya vyema, fursa zipo nyingi, kazi sio tu kwenye fani za afya, dunia imebadilika
Kwaiyo wataka kusema CBG asomi nursing?? Una uwakika na hilo au ndo unasema tuuAchana na CBG mkuu, haina future kwa sasa. Kama unapesa kasome chuo cha afya. Kwanza hiyo GEOG hapo haina kazi yeyote kwenye afya.
Sasa unakwenda kusoma CBG ili uje usome unesi, hilo GEOG linatumika wapi kwenye huo unesi.
Kwa ushauri tu kasome dip ya afya
SureKwaiyo wataka kusema CBG asomi nursing?? Una uwakika na hilo au ndo unasema tuu
Acha kumdanganya dogo ,nani kakwambia alichukua CBG lazima aje kusomea unesi,akifauli vzr CBG anaweza kuja ku-opt kozi tofauti chuobi kama vile bachelor ya laboratory technology,Environmental science(EE), Environmental science Management(ESM) ,Bsc Pharmacy,na baadhi ya kozi nyingiz za kilimo SUA .ambazo ni very markertableAchana na CBG mkuu, haina future kwa sasa. Kama unapesa kasome chuo cha afya. Kwanza hiyo GEOG hapo haina kazi yeyote kwenye afya.
Sasa unakwenda kusoma CBG ili uje usome unesi, hilo GEOG linatumika wapi kwenye huo unesi.
Kwa ushauri tu kasome dip ya afya
CBG hana vigezo vya kujiunga BSc Health Laboratory ile ya kupima wagonjwa hospitalini pia hana vigezo vya kujiunga BSc Pharmacy.Acha kumdanganya dogo ,nani kakwambia alichukua CBG lazima aje kusomea unesi,akifauli vzr CBG anaweza kuja ku-opt kozi tofauti chuobi kama vile bachelor ya laboratory technology,Environmental science(EE), Environmental science Management(ESM) ,Bsc Pharmacy,na baadhi ya kozi nyingiz za kilimo SUA .ambazo ni very markertable
CBG hana vigezo vya kujiunga BSc Health Laboratory ile ya kupima wagonjwa hospitalini pia hana vigezo vya kujiunga BSc Pharmacy.Kwaiyo wataka kusema CBG asomi nursing?? Una uwakika na hilo au ndo unasema tuu
Wanasemaga ni combination of beautiful girls aka cabbage
Mkuu wakati unachagua combination hukufanya maamuzi sahihi.Hongera kwa kozi uliyochaguliwa, kifupi kama una mawazo ya kusoma kozi za ajira na ndo unaenda kidato cha tano basi mwisho wako utakuwa mbaya sana, ni vyema uhailishe kusoma kwanza ujitafakari,
Binafsi nimesoma CBG Karatu Boys pale baada ya matokeo kutoka nilishauriwa sana kusoma diploma ya afya maana tofauti na hapo yabidi niombe ualimu wa kemia na biology, niliamua mwenyewe kuomba kozi ya IT, nikafanikiwa kujiunga mzumbe university na mkopo wa bodi 100%, juhudi zangu zimeniwezesha niko mwaka wa tatu na hivi sasa napata deal za kutengeneza mifumo( tupo kundi), nasoma na bado napata connection, nakumbuka mzee baada ya kusikia nimechagua kusoma IT wakati ukoo wetu wote wakisoma basi ni kozi za afya, uhandisi na ualimu, alinigomea mwanzo kunipa sapoti, but mkopo niloupata umenisaidia kwa kiasi fulani mpaka akaja kuelewa,
Soma mkuu, fanya vyema, fursa zipo nyingi, kazi sio tu kwenye fani za afya, dunia imebadilika
HUu ni uongo!! CBG anasoma course kibao za afya ikiwemo na Nursing but some of courses hawezi kusoma kama Medical doctor na zingine hazizidi 4 hv.Sure
Tatizo lako wewe mkuu ni moja tu. Utakua umesoma UDOM hivyo ni kilaza wa kwanza.HUu ni uongo!! CBG anasoma course kibao za afya ikiwemo na Nursing but some of courses hawezi kusoma kama Medical doctor na zingine hazizidi 4 hv.
So usimkatishe tamaa kabisa
We umesoma wapi mpaka unaponda vyuo vya watu!!Tatizo lako wewe mkuu ni moja tu. Utakua umesoma UDOM hivyo ni kilaza wa kwanza.
Angalia hii image, usilazimishe CBG sio comb ya kusoma kwa sasa haina tofauti na HKL. View attachment 1516504View attachment 1516504
Vigezo vya tcu vinabadilikaga ila n ngumu vimpe fursa mtu wa CBG kufaidi fan za afya kiasi hichoTatizo lako wewe mkuu ni moja tu. Utakua umesoma UDOM hivyo ni kilaza wa kwanza.
Angalia hii image, usilazimishe CBG sio comb ya kusoma kwa sasa haina tofauti na HKL. View attachment 1516504View attachment 1516504
Hivi inakuwaje mtu usome Geography alafu ukasomee afya mkuu. Ni swala ambalo haliwezekani kabisa.Vigezo vya tcu vinabadilikaga ila n ngumu vimpe fursa mtu wa CBG kufaidi fan za afya kiasi hicho
Mimi nimesoma Mlimani mkuu chuo kinacho chukua wanafunzi walio fauru sanaMbona entry requirements inajieleza apo au English in shida,,Soma maelezo ya Medical doctor na Nursing kama ujaona tofauti basi huna hoja aisee
We umesoma wapi mpaka unaponda vyuo vya watu!!